Kuna ukweli kwamba matajiri wakubwa SANA duniani wote ni members wa freemasons/illuminati?

lbaraka

JF-Expert Member
Feb 24, 2014
393
248
Hi members,

Nasikia kila kona kwamba matajiri wote wakubwa tunaowajua wapo chini ya mtandao wa Freemason/Illuminati. Wawe ni celebrities, wamiliki makampuni makubwa sana, au viongozi maarufu wa nchi mbalimbali duniani; wote naambiwa wamo mule..

Binafsi hii habari inanitisha sana na kunisikitisha nikiambiwa kwamba wamiliki wa makampuni kama Nike, Adidas, Sony, Apple, Airtel, Lg na mengine mengi sana nao ni devil worshippers coz mm binafsi cpendi hayo mambo ase!!

Mwenye taarifa kamili na uhakika kuhusu hili anisaidie.

Asanteni & Karibuni.
 
Mi navyoamini kuwa Freemason utakuwa na networking ya kutosha kuhusu biashara yake maanake utakuwa updated kwa haraka zaidi kuhusu masoko,investment mpya,wafanyakazi na hata kuinuana kimtaji hata ukiyumba,kwa hiyo watu wako huko kwa sababu wanaamini watafanya biashara zao kwa uhakika

Sawasawa na watu mko na kikundi chenu cha kuweka na,kukopa na umeona fursa sehemu na kuna mtu kwe kikundi anafanya ishu ka hiyo ni rahisi sana kumpa taarifa na kuifanyia kazi,hivyo hao jamaa wapo huko kimkakati zaidi wateke kila pahala kwa sababu katika umoja wao wana kila kitu zikiwemo media kwa ajili ya promotion!!!
 
Mimi hapa ni Freemason, haturuhusiwi kutoa siri zetu kwenye mitandao ya kijamii, nitafute kwa wakati wako nitakuelekeza jinsi ya kujiunga
Mimi hapa ni Freemason, haturuhusiwi kutoa siri zetu kwenye mitandao ya kijamii, nitafute kwa wakati wako nitakuelekeza jinsi ya kujiunga
MKWEPA KODI Mkuu mimi sitaki kujiunga nao wale jamaa tena naogopa kinoma. NNachotaka ni kujua tu ili nichukue tahadhari
 
asilimia 80% ya manufactured product from west countries & europe wana izo logos za illuminati example carslogos ya mitusubishi, Bmw, na lexus ni product ambazo source yake iliianzia kuzimu, mbali na brand za vinywaj kama cocacola na vinginen ving tu
 
asilimia 80% ya manufactured product from west countries & europe wana izo logos za illuminati example carslogos ya mitusubishi, Bmw, na lexus ni product ambazo source yake iliianzia kuzimu, mbali na brand za vinywaj kama cocacola na vinginen ving tu
Nktlogistics Duuh!! Ndo mana kizazi cha sasa hakieleweki! Watoto wanazaliwa wakiwa washapinda kuanzia tumboni sababu ya hizo products
 
Hi members,
Nasikia kila kona kwamba matajiri wote wakubwa tunaowajua wapo chini ya mtandao wa Freemason/Illuminati. Wawe ni celebrities, wamiliki makampuni makubwa sana, au viongozi maarufu wa nchi mbalimbali duniani; wote naambiwa wamo mule..
Binafsi hii habari inanitisha sana na kunisikitisha nikiambiwa kwamba wamiliki wa makampuni kama Nike, Adidas, Sony, Apple, Airtel, Lg na mengine mengi sana nao ni devil worshippers coz mm binafsi cpendi hayo mambo ase!!
Mwenye taarifa kamili na uhakika kuhusu hili anisaidie. Asanteni&karibuni
MASIKINI ndo hua tunasema na kuamini hivyo, kwa sababu ya wivu na pia kutotaka kuamini ukweli kuwa mwenzako amefight kwa nguvu na akili zake na kufanikiwa wakati wewe uko hivyo hivyo,

ni kama njia fulani hivi ya kujustfy umasikini wako
 
Mawazo haya ya freemasons ni product ya elimu dini ya utegemezi tupatayo mashuleni. Katika biblia twasoma watu matajiri kama: Ibrahim na Solomoni, je hao walikuwa ni mosons? Je Mungu aliwakabidhi wao kuhodhi mambo? Tujitahidini kutumia angalau 5% ya bongo zetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa.
 
MASIKINI ndo hua tunasema na kuamini hivyo, kwa sababu ya wivu na pia kutotaka kuamini ukweli kuwa mwenzako amefight kwa nguvu na akili zake na kufanikiwa wakati wewe uko hivyo hivyo,

ni kama njia fulani hivi ya kujustfy umasikini wako
olele Pamoja na hivyo, wewe unaisapoti hii hoja kwa mrengo upi? Wewe huoni kama kuna ukweli flani?
 
Nktlogistics Duuh!! Ndo mana kizazi cha sasa hakieleweki! Watoto wanazaliwa wakiwa washapinda kuanzia tumboni sababu ya hizo products
"Yani kama wewe nimfanyabiashara wa bidhaa na unahitaji kuuza internation na ili zikubalike na kusambaa ulimwenguni kote nilazima uwe na kibali cha hawa watu ambacho kikishawekwa kwenye bidhaa yako popote bale itauzika kutokana itaoekana ina hadhi, famous, na inayoenda na wakati example Hii label ya Tiffan unajua ni illuminati hata zile ishara za kwenye hii label zinaleta kauga kidogo"
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom