Kuna ukweli kuwa wanaume huwa na akili zaidi mchana kuliko usiku?

Therapist 2015

JF-Expert Member
Aug 4, 2018
791
830
Habari wana Jf,

Poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania .Natanguliza shukhrani zangu kwa kwa wasomaji tu wa maoni na watoaji maoni pamoja na kusoma pia, itifaki imezingatiwa.

Naomba kujielekeza kwenye mada , inasemekana kuwa Wanaume wakati wa usiku huwa hawana akili ukilinganisha na mchana, tena Wanawake nyakati za usiku huwa na akili sana ukilinganisha na mchana.

Katika kudhibisha huu utafiti ,mwanaume akimkosea mwanamke humsubiria wakati wa usiku ndo akumbushie alivyokosewa na apate suluhisho, tena katika kipindi hicho uwezo wa mwanamme wa kufikiri huwa mdogo.

Tena enzi za wahenga, mababu wa kiletewa tatizo usiku huwa wana subiria hadi kukuche ndo wapate ufumbuzi wa shida hiyo.

Naomba kuwasilisha hoja...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nina hamu ya kula kitimoto. Yeyote mwenye hamu adondoshe namba ya simu hapa faster. Nimuagizie kilo kadhaa.
 
kikawaida binadamu usiku(mid night) akili yake ndiyo huwa inafanyakazi kwa 100%

mifano ya wazi ipo kwa watu wanaofanyakazi usiku kama wachina, wanafunzi wanaosoma usiku hata kupitia ndoto unazoota sehemu za kufanya maamuzi huwa unachukua maamuzi sahihi

mtoa mada usiniulize swali pia ufafanuzi wangu umemlenga binadamu sio gender
 
mfano: mtoa mada amejikojolea alivyokuwa amelala, babaye atasubir mchana ufike ili amseme na majiran waskie lbl atabadlika lkn ukimsema usiku utaona ni poa tu mana mko pekee yenu.
 
Back
Top Bottom