kuna ukweli juu ya hili?

Dr.adams faida

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
1,829
3,158
Kuna tarifa zinasambaa kwenye mitandao haswa wasap kuwa kwa watumishi wote walio kwenye ajira,kwa wote ambao watakuwa wana mipango ya kwenda kujiendeleza hasa wanaoenda kusoma shahada (degree) ya kwanza na kuendelea wachukue likizo ya bila malipo na pia mtumishi atakapokuwa shuleni/masomoni mshahara utafungwa mpaka atakapo rudi kazini.
Hii habari imenishitua huku kuna taarifa nyuma zilizagaa kuwa mfanyakazi atakayechukua likizo ya bila malipo atakuwa amejitoa kwenye ajira......
Wakuu hili swala limekaaje?
 
Bado hazina ukweli ila huko tuendako nazani itarudi system ya wanafunzi wa vyuo kupikiwa chakula chuo na kula kwa kupanga mstari maana lengo ni kupunguza matumizi ya hela sasa sijui zinaenda wapi km saizi hakuna wafanyakazi hewa, hakuna wanafunzi hewa, wafanya biashara wanalipa kodi, mishahara inapunguzwa ila bado serikali haina hela sa sijui zinaenda wapi. Anyway hizo taarifa bado hazijawa rasmi hivo si fizuri kuzisambaza maana ukihoji unaitwa KUHOJIWA
 
Da
Bado hazina ukweli ila huko tuendako nazani itarudi system ya wanafunzi wa vyuo kupikiwa chakula chuo na kula kwa kupanga mstari maana lengo ni kupunguza matumizi ya hela sasa sijui zinaenda wapi km saizi hakuna wafanyakazi hewa, hakuna wanafunzi hewa, wafanya biashara wanalipa kodi, mishahara inapunguzwa ila bado serikali haina hela sa sijui zinaenda wapi. Anyway hizo taarifa bado hazijawa rasmi hivo si fizuri kuzisambaza maana ukihoji unaitwa KUHOJIWA
Da mkuu uliyoyasema ni ukweli mtupu ila na wasiwasi kama ww kuwa cjui tunakokwenda ni wapi JPM naanza kumuelewa sasa:):):):):)
 
Back
Top Bottom