Van Pauser
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 417
- 418
Kuna mahali nimekutana na jumbe hizi..
Hii imekaa Mbuya sana, watu wanapenda mtu muongo muongo, na ndio mana ukiwa mkweli utakosa vingi Sana, waliooa wanajua ukiwa mara zote unamwambia mke wako kuhusu hali halisi ya mambo atakuona fala , na atakata tamaa na wewe hata kusepa
Kuna mahali nimekutana na jumbe hizi..View attachment 1229713View attachment 1229714View attachment 1229715View attachment 1229716
SureTrue these are realities
Maisha bila unafki hayaendi kabisaHii imekaa Mbuya sana, watu wanapenda mtu muongo muongo, na ndio mana ukiwa mkweli utakosa vingi Sana, waliooa wanajua ukiwa mara zote unamwambia mke wako kuhusu hali halisi ya mambo atakuona fala , na atakata tamaa na wewe hata kusepa