masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 780
Haina haja, nadhani hii sense ya utu mbele alhali wanaotakiwa kujali utu hawajaliwi utu wao haina mantiki. Hawa madaktari bingwa wajue kuwa ni movement ya haki za wafanyakazi makazini, na haitaisha na hawa more to come. Madaktari walio kwenye mgomo tuwaache waamue wanachojua wao kwa maslahi yao, hawa mabingwa kama hawaungani na wenzao ni wasaliti pia maana hata hawa wagomao leo ndo mabingwa wa kesho.