Kuna uhusiano wowote katika kula mbunye na unywaji wa kiroba?

mdeki

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
3,300
466
Jamaa kaniaga ofisini anaenda kula mbunye kaalikwa na demu, lakini si muda mrefu kapiga viroba kama vinne hivi
 
Ungetumia busara kama ungelimuuliza mhusika huenda angekupa majibu stahiki.
 
mbona thread yako haina kichwa wala miguu?
unatupa taarifa za huyo jamaa ako au unatuuliza?
hv kama m2 anaenda kusex akaamua kunywa pombe basi ni swala la wewe kulileta hapa jamiiforums?
Jamaa kaniaga ofisini anaenda
kula mbunye kaalikwa na demu, lakini si muda mrefu kapiga viroba kama
vinne hivi
 
Kiroba ndo kachumbari ya kula iyo mbunye au ni kama appetizer?
 
Unachelewa kufka kilelen ukinywa kiroba.... Hata ww sk nyngne ukmpata demu ambae n kokap kunywa viroba vi3 halaf nenda kumgegeda atakojoa mara 4 ww bado hata bao moja!!.. TAHADHARI usimgegede kama huna uhakika na afya yake kwasababu lazma mtapata michubuko wote wawili hata kama utatumia kondom zitapasuka tu.
 
Jadili kwanini uliposikia mwenzio kaenda kula mbunye umebaki msuruali wako umetuna mbele!
 
Unaweza kupata jibu nawe ukialikwa.
Kula viroba afu kapige gemu.
Then urudi JF utupe feedback
 
Inaonyesha bila hivyo viroba atakuwa anang'ata kucha, ncha ya kola ya shati, na kuchora chini kwa vidole vya mguu. "Aiiii wewe jamaaani usinishike naona haibu....", Pambaaaaf
 
Back
Top Bottom