mind ur bussness
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,050
- 739
Nmeuliza swali hilo kwasababu tukirudi nyuma kidogo katika kampeni za kisiasa tuliona wanamuziki wa injili kama Rose Mhando nk walikuwa wakiwaimbia wapiga kampeni kipindi hicho, mfano Rose alimuimbia sana Mwigulu Nchemba ikiwa kama sehemu ya kumpigia chapuo ili ajipatie kura nyingi, hapo nI nini hasa kilichomsukuma kufanya vile?
Naombeni tusaidiane katika kupeana mawazo hapa, nimefikilia saana issue hiyo sjaelewa
Naombeni tusaidiane katika kupeana mawazo hapa, nimefikilia saana issue hiyo sjaelewa