luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Asalam waleikhum wanaJF, naomba mnipatie msaada katika hili kwani lanitatiza siku hadi siku kwani mie mgeni katika hili ingawa katika elimu zote zihusianazo na uzazi sikuwahi kukutana nalo, KWA WENYE KUPATA MAUMIVU MAKALI "abnormal Pain" WAKATI WA M.P
ni kweli kwamba ukifanya mapenz siku moja au muda mfupi kabla ya kuanza MP kwaweza punguza maumivu makali ambayo mtu huyapata wakati wa period? na je kuna uhusiano wa kitaalam katika hili la kufanya mapenz na kupunguza maumivu ya MP?
ni kweli kwamba ukifanya mapenz siku moja au muda mfupi kabla ya kuanza MP kwaweza punguza maumivu makali ambayo mtu huyapata wakati wa period? na je kuna uhusiano wa kitaalam katika hili la kufanya mapenz na kupunguza maumivu ya MP?