kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,052
Hello bosses
Hapa duniani nadhani moja ya kitu kibaya na chenye madhara makubwa ni umasikini, hasa hasa umasikini wa kiuchumi tukiweka pembeni ule wa kiakili. Umasikini ndio uongeza chuki kwenye jamii, husababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe na maswaibu kibao.
Kuna vyanzo vingi vya umasikini na watu wanajitahidi kupambana navyo ili wajitoe kwenye hali hio lakini tukiachana na vyanzo vya umasikini kuna vitu vinavyofanya umasikini uwe endelevu na hivyo kuweka raia kwenye hali ile ile miaka mingi kama sio yote. Moja ya vitu hivyo ni hizi STAREHE ZA BEI RAHISI.
Tunakumbuka kabla ya kupigwa marufuku viroba ulikua unakuta mtu ana 1500 lakini kalewa balaa tena asbh, kutokana na quality ya hzo pombe zinafanya watumiaji wawe legevu na kuendeleza uvivu kunapopelekea umasikini kukithiri.
Pia ukienda uswahilini hasa mikoa ya pwani hizi ngoma za kucheza uchi au nusu uchi zimekithiri sana. Sehemu kama marekani na nchi zilizoendelea kuna strip clubs ambazo kama unataka burudan ya namna hio lazima ulipie ama utoe tips kwa wadada wanaotoa hio burudan, hii inafanya watu wawajibike na inaongeza mzunguko wa fedha then matokeo yake ni kupunguza umasikini.
Kiukweli kwenye nchi zilizoendelea kuna kina aina ya burudani lkn zote ni ghali kiasi fln na matokeo yake wananchi wanathamini kazi na ukifika mda wa kuenjoy wanaenjoy kweli. Na hawawezi kuburudika kila siku coz bei za burudan ziko juu hivyo mda wa kazi wanakua nao mwingi.
Nenda kanda ya ziwa unakuta familia masikini ila ina watoto 7 na kuendelea, hio ni kwa sababu kwa wazazi sex ndio burudan rahisi kupata, na matokeo yake ni kupata watoto wengi wasiotarajiwa.
Mimi sio mwana uchumi lkn ningependa kushauri wanaocontrol uchumi wa nchi hii wapandishe gharama za burudan, pia waruhusu hata stripping clubs na ma-casino coz watakuza uchumi na kupata kodi zaidi badala ya kuongeza tozo na kodi kwenye mahitaji muhimu ya maisha kama vle mawasiliano, vyakula na usafiri (diesel & petrol). Hio itasaidia sana kubalance maisha.
Peace
~Kali
Hapa duniani nadhani moja ya kitu kibaya na chenye madhara makubwa ni umasikini, hasa hasa umasikini wa kiuchumi tukiweka pembeni ule wa kiakili. Umasikini ndio uongeza chuki kwenye jamii, husababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe na maswaibu kibao.
Kuna vyanzo vingi vya umasikini na watu wanajitahidi kupambana navyo ili wajitoe kwenye hali hio lakini tukiachana na vyanzo vya umasikini kuna vitu vinavyofanya umasikini uwe endelevu na hivyo kuweka raia kwenye hali ile ile miaka mingi kama sio yote. Moja ya vitu hivyo ni hizi STAREHE ZA BEI RAHISI.
Tunakumbuka kabla ya kupigwa marufuku viroba ulikua unakuta mtu ana 1500 lakini kalewa balaa tena asbh, kutokana na quality ya hzo pombe zinafanya watumiaji wawe legevu na kuendeleza uvivu kunapopelekea umasikini kukithiri.
Pia ukienda uswahilini hasa mikoa ya pwani hizi ngoma za kucheza uchi au nusu uchi zimekithiri sana. Sehemu kama marekani na nchi zilizoendelea kuna strip clubs ambazo kama unataka burudan ya namna hio lazima ulipie ama utoe tips kwa wadada wanaotoa hio burudan, hii inafanya watu wawajibike na inaongeza mzunguko wa fedha then matokeo yake ni kupunguza umasikini.
Kiukweli kwenye nchi zilizoendelea kuna kina aina ya burudani lkn zote ni ghali kiasi fln na matokeo yake wananchi wanathamini kazi na ukifika mda wa kuenjoy wanaenjoy kweli. Na hawawezi kuburudika kila siku coz bei za burudan ziko juu hivyo mda wa kazi wanakua nao mwingi.
Nenda kanda ya ziwa unakuta familia masikini ila ina watoto 7 na kuendelea, hio ni kwa sababu kwa wazazi sex ndio burudan rahisi kupata, na matokeo yake ni kupata watoto wengi wasiotarajiwa.
Mimi sio mwana uchumi lkn ningependa kushauri wanaocontrol uchumi wa nchi hii wapandishe gharama za burudan, pia waruhusu hata stripping clubs na ma-casino coz watakuza uchumi na kupata kodi zaidi badala ya kuongeza tozo na kodi kwenye mahitaji muhimu ya maisha kama vle mawasiliano, vyakula na usafiri (diesel & petrol). Hio itasaidia sana kubalance maisha.
Peace
~Kali