M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Waungwana suala hili sio geni sana masikioni mwetu naamini hivyo, lakini napenda tutafakari kwa umakini mkubwa...
Juzi nilienda kumsalimia mke wa rafiki yangu mmoja aliyekuwa kajifungua, tulipokuwa pale wodini kuna manesi wakawa wanaongea wakipangilia likizo zao nikawasikia wakisema kuwa waombe likizo kati ya mwezi wa August, September au October mwaka huu maana eti kwa mvua zinazonyesha sasa ikifika wakati huo idadi ya wamama wanaojifungua itakuwa maradufu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha sasa, nilitamani kuwahoji rationale ya walichokuwa wakiongea lakini muda wa kuona wagonjwa ukawa umekwisha.
Sasa ndugu zangu, hasa mliokwisha kuoa na kuwa na watoto, ni kweli mlikuwa mnafanya timing ya msimu wa mvua au wakati huo ndio tunda linakuwa tamu zaidi kwahiyo mnapitiliza na kujikuta mmeshatundika mimba?
........Naomba kuwasilisha.
Juzi nilienda kumsalimia mke wa rafiki yangu mmoja aliyekuwa kajifungua, tulipokuwa pale wodini kuna manesi wakawa wanaongea wakipangilia likizo zao nikawasikia wakisema kuwa waombe likizo kati ya mwezi wa August, September au October mwaka huu maana eti kwa mvua zinazonyesha sasa ikifika wakati huo idadi ya wamama wanaojifungua itakuwa maradufu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha sasa, nilitamani kuwahoji rationale ya walichokuwa wakiongea lakini muda wa kuona wagonjwa ukawa umekwisha.
Sasa ndugu zangu, hasa mliokwisha kuoa na kuwa na watoto, ni kweli mlikuwa mnafanya timing ya msimu wa mvua au wakati huo ndio tunda linakuwa tamu zaidi kwahiyo mnapitiliza na kujikuta mmeshatundika mimba?
........Naomba kuwasilisha.