Mzyondi
Member
- Nov 24, 2016
- 40
- 64
Tangu kuanzishwa kwa chama cha ACT nimekuwa nikifuatilia mienendo na mtazamo wa makada wa chama hicho nimegundua kuwa hawatofautiani na wa chama cha mapinduzi, wamekuwa wakipongeza kila kitu kinachofanywa na rais au watendaji wa serikali kama wafanyavyo makada wa ccm, Pia wamekuwa wanaungana pamoja kumshambulia aliyekuwa mgombea wa ukawa ndugu Lowasa pamoja na viongozi wengine wa vyama vya upinzani kasoro mh Lipumba tu, sasa sielewi pengine hiki chama kipo kwa ajiliya kupimga mawazo ya vyama vya upinzani? kwanini kupitia kwa kada wake maarufu prof Kitila Mkumbo wanaunga mkono marufuku ya mikuano ya hadhara ya vyama vya upinzani? au ni kwa sababu hawana pesa ya kuwezesha kufanya mikutano ndiyo maana wanaona bora tukose wote?