Kuna uhusiano gani wa ushirikina na njia panda

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Jan 19, 2020
285
1,447
Hi,

Kuna swali hili huwa najiuliza kuhusu ushirikina. Kwanini mambo mengi ya kishiriki na hufanyika njia panda. Unaambiwa labda kachote mchanga njia panda, au kwavunje nazi njia panda.

Kama ishu ni kuvunja nazi si avunje popote tu.

Na unaambiwa ukiwa una-solve ishu kubwa kishirikina eti uende njia panda inayopitiwa na watu wengi. So ukubwa wa tatzo lako inakupa aina ya njia panda ya kufanyia uchawi. Kadri tatzo lako linapokua kubwa, ndipo inatakiwa uende njia panda yenye population.

Na hivi kuvunja njia panda kwann huwaga ni nazi? Kwanini isiwe nanasi, nyanya, au kitu kingine? Kwanini nazi na mkaa?

Wajuzi mje.
 


Yaani wewe unaniambie mie niachane na shirk au mie nikuambie wewe mkuu?khaa...sitegemei kuhusiana na hizo ishu mie na ww daily tunabishana na ww kuhusu hayo Mambo ndo nikakuita

GIRITA
 
~ Mimi naamini shirki zipo,lakini sijawahi tumia ushirikina katika jambo lolote,kila kitu kinawezeshwa na mwenyezi mungu,pia kavipa uwezo viumbe wengine tofauti na binaadamu....kama majini n.k kwa hiyo
 
Back
Top Bottom