Kuna uhusiano gani wa lugha ya kiarabu na majini?

Oxpower

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,133
2,987
imekuaje hadi nikajiuliza hilo swali?

story yenyewe iko hivi.

nina rafiki yangu wa kike,siku za hivi karibuni yapata kama mwezi sasa,mara kwa mara na humtokea baada ya kutoka kusali tu,anajikuta anandika vitu ambavyo hata yeye havijui.anakuja kushtuka tu ameandika.hiyo hali haikutushtua na tuliona kawaida tu

kilichotushtua ni hiki

alianza kuandika kwa kukoroga koroga kama ambavyo watoto wa awali huwa wanafanya wakipewa daftari na peni bila kufundishwa chochote.kisha akaanza kuimprove kidogo kidogo na ikafikia hatua anaandika kitu furan kinachoeleweka ambacho hatujui ni nini na ni lugha gani.

kwa kifupi kapitia hatua zote za mtu ambaye anajifunza kuandika lakini hata yeye binafsi hajui.ila anaandika mtindo kama kikolea au kichina kwa kwenda chini,tumejaribu kugoogle lugha mbali mbali hatukupata hata lugha moja ya mtindo huo

mashaka yakaanza
baada ya hiyo hali tukaanza kupata mashaka kua inawezekana kuna namna kiroho,pengine ni lugha ya kiMungu au ni mapepo.

tukaona tuwashirikishe watu wa Mungu(nazungumzia waokovu).siku ya ijumaa ikabid aende kwenye jumuiya na akawasimulia kila kitu.
baada ya kuonesha hilo daftar analoandika mama wa kwanza tu ambaye ndio mkuu wa jumuiya akashtuka ,akasema hiki si kiarabu lugha ya mashetani au majini.kisha akamwambia chukua namba ya simu badae utanipigia.lakini mpaka saizi hatujampigia maana bado tunamaswali mengi juu ya kauli yake.

swali liko hivi.
Ni kwanini ?hasa wakristo huwa wanahusisha lugha ya kiarabu na mambo ya kishirikina,majini,mapepo nk.
ikitokea sehemu yoyote ambayo inautata frani hivi kukawa na lugha ya kiarabu basi wazo la kwanza ni mapepo.

hiki kitu nmekisikia mara nyingi na nlijua ni kwa watu ambao hawajui.mambo ya Mungu sasa kilichonishangaza hadi myu wa Mungu nae yumo kwenye huo mkumbo.

mwenye ufahamu tafadhali tubadirishane uzoefu.

Angalizo,mimi ni mkristo na naamini katika Mungu,pia naheshimi dini zote duniani.kama.ninavyoheshimu dini yangu.mada kama hizi huwa hazichelewi kuhama lakini mimi sipo hapa kukashifu dini ya mtu yeyote.nipo hapa kupata ufafanuzi.na pia kama kutakua na mtu ambaye anaweza kunisaidia kuhusu tatizo la huyo dada nitamshukuru sana.

kama kuna sehem patahitaji kueleweshana nipo hapa,

natanguliza shukran
 
imekuaje hadi nikajiuliza hilo swali?

story yenyewe iko hivi.

nina rafiki yangu wa kike,siku za hivi karibuni yapata kama mwezi sasa,mara kwa mara na humtokea baada ya kutoka kusali tu,anajikuta anandika vitu ambavyo hata yeye havijui.anakuja kushtuka tu ameandika.hiyo hali haikutushtua na tuliona kawaida tu

kilichotushtua ni hiki

alianza kuandika kwa kukoroga koroga kama ambavyo watoto wa awali huwa wanafanya wakipewa daftari na peni bila kufundishwa chochote.kisha akaanza kuimprove kidogo kidogo na ikafikia hatua anaandika kitu furan kinachoeleweka ambacho hatujui ni nini na ni lugha gani.

kwa kifupi kapitia hatua zote za mtu ambaye anajifunza kuandika lakini hata yeye binafsi hajui.ila anaandika mtindo kama kikolea au kichina kwa kwenda chini,tumejaribu kugoogle lugha mbali mbali hatukupata hata lugha moja ya mtindo huo

mashaka yakaanza
baada ya hiyo hali tukaanza kupata mashaka kua inawezekana kuna namna kiroho,pengine ni lugha ya kiMungu au ni mapepo.

tukaona tuwashirikishe watu wa Mungu(nazungumzia waokovu).siku ya ijumaa ikabid aende kwenye jumuiya na akawasimulia kila kitu.
baada ya kuonesha hilo daftar analoandika mama wa kwanza tu ambaye ndio mkuu wa jumuiya akashtuka ,akasema hiki si kiarabu lugha ya mashetani au majini.kisha akamwambia chukua namba ya simu badae utanipigia.lakini mpaka saizi hatujampigia maana bado tunamaswali mengi juu ya kauli yake.

swali liko hivi.
Ni kwanini ?hasa wakristo huwa wanahusisha lugha ya kiarabu na mambo ya kishirikina,majini,mapepo nk.
ikitokea sehemu yoyote ambayo inautata frani hivi kukawa na lugha ya kiarabu basi wazo la kwanza ni mapepo.

hiki kitu nmekisikia mara nyingi na nlijua ni kwa watu ambao hawajui.mambo ya Mungu sasa kilichonishangaza hadi myu wa Mungu nae yumo kwenye huo mkumbo.

mwenye ufahamu tafadhali tubadirishane uzoefu.

Angalizo,mimi ni mkristo na naamini katika Mungu,pia naheshimi dini zote duniani.kama.ninavyoheshimu dini yangu.mada kama hizi huwa hazichelewi kuhama lakini mimi sipo hapa kukashifu dini ya mtu yeyote.nipo hapa kupata ufafanuzi.na pia kama kutakua na mtu ambaye anaweza kunisaidia kuhusu tatizo la huyo dada nitamshukuru sana.

kama kuna sehem patahitaji kueleweshana nipo hapa,

natanguliza shukran



swali lako ni zuri kiongozi

1.kwanza inabidi utambue kwa hapa Tanzania kuna dini 2 kuu Uislamu na Ukristu hawa mimi nawaita watani wa jadi kama vile simba na yanga.Kila upande lazima ikandie na itoe propaganda kwa pande nyingine.

2.Kuhusisha Lugha ya kiarabu na Majini?kwanza naomba nikuambie kitu kuna majini wa kila namna ndio maana unaweza kukuta mtu kapandisha majini anaongea kimasai ,mwingine anazungumza kiingereza,mwingine anazungumza lugha haieleweki na wengine wanazungmza kiswahili fasaha?swali huyu anayezungumza kiswahili fasaha inakuwaje kwahiyo kiswahili ni lugha ya mapepo??

3.Mimi hapa binafsi nilipatwa na majini nikiwa nchini China nikipata mafunzo yangu binafsi ,na nilitupiwa jini na wachina ''Mabudha'' hivyo tambua majini kila mahala wapo na wa kila aina wapo..na pindi natibiwa tabibu wangu alipata shida sana.

4.wakati napatiwa matibabu nilijifunza mengi kutoka kwa mganga ambaye hutoa majini,kuna majini ya kila namna ,labda subiri nikujibu swali lako kuna matabibu ambao hutoa majini au hutuliza kwa kutumia ''Ruqya'',Ruqya ni nini??

"Ruqya"

ni kisomo ambacho huhusisha baadhi ya sura au aya ndani ya Qur an kumsomea mtu aliyepatwa na majini na mara nyingine huandikwa kwenye karatasi na kupewa mgonjwa..Ruqya ni tiba mashuhuri kwa wenye matatizo ya majini miongoni mwa waislamu..kma vile unavyoona mafuta ya mzeituni wanaotumia akina upako na wachungaji wengine hivo hivyo kwa Ruqya....mfano mtu ana majini basi mtu anayetibia au yeyote yule husoma aya hizo na yule mtu hupandisha kisha yule tabibu au yeyote yule huongea na yule jini kumuuliza maswali kadhaa mfano ni kwanini anamsumbua mgonjwa,labda ni nani aliyemtuma, alimuingia vp mgonjwa ,aondoke nk..hii kitu huwa ndio inawachanganya sana wachungaji binafsi mimi hii ruqya nimeitumia kwa jamaa zangu nilivyokuwa bweni pindi wakipandisha majini huwa nawasomea kisha hutulia...misconception ya wachungaji au mbinu tu ya kuwahadaa waumini wao waone lugha fulani ndio ya mapepo na waumini bila ya research huamini na kukariri..


NB:kama awali nilivyosema kuna mtu anapandisha jini anazungumza lugha ya kiswahili,ina maana lugha ya kiswahili ni lugha ya mapepo....Hilo swali ungewauliza hao jamaa unadhani ni jibu gani wangekukupa??mpaka hapo huoni kuwa ni propaganda...

Alamsiki
 
Umeshawahi kusikia jini linaitwa Thomas?

Mkuu labda hufanyi tafiti ,hao hao wazungu wameya categorize majini kwa makundi tofauti tofauti.,


na wameyapa majina tofauti tofauti,,kuna majina zaidi ya 100 ya majini kwa lugha ya kiyahudi.

pia kuna majina ya majini kedekede kwa kizungu hivyo hivyo kwa kichina nk...

ungesoma theolojia ya hizi vitu ungeshajua kuna majina ya kigiriki ya majini tofauti tofauti,kiyahudi,kiwelsh,kihindu,kiarabu nk..mbona hujiulizi masuala ya nyota ya capricorn,cancer na nyota zipo kwa kiingereza..ukija TZ ukiwatafuta waganga watakupa majina ya mizimu na majini nk..

baadhi yao haya hapa


Abaddon
Abraxas
Adramelech
Agares
Ahriman
Aim/Haborym
Alastor
Alloces
Amdusias/ Amduscias
Amon
Amy
Andras
Andrealphus
Andromalius
Anzu
Asmoday/Asmodeus
Astaroth
Astarte/ Astaroth


Azazel
Bael
Balam
Barbatos
Bathin
Beelzebub
Behemoth
Beleth
Belial
Belphegor
Berith
Bhairava (Shiva)
Bifrons
Botis
Buer
Bune
Cacus



Cali (Kali)
Callicantzaros
Camio
Cerberus
Chiang-shih (or kiang shi)
Cimejes
Crocell
Daevas
Dagwanoenyent
Daityas
Dantalion
Decarabia
Deumus
Eligos/Abigor
Ereshkigal
Erinyes
Eurynome
Samael
Lezabel
Jezebeth
 
Wakristo (au mtu yeyote) anapohusisha lugha ya Kiarabu na majini huku ni kutokana na kutokua na taarifa sahihi na uelewa ikiwa ni kweli hiko anachokiwaza kina uhusiano kama anavyodhania.

1481590081447.jpg


Pia kuna imani zinajijenga miongoni mwa watu mfano kuchukulia lugha ya kifaransa ni lugha ya kimahaba, naamini na hii imani imejengwa kuizunguka lugha hii pia.
Kuna ustadhi alinifafanulia, akasema kiarabu na kilichoandikwa kwenye Quran ni vitu viwili tofauti, Quran inakupa mamlaka ya kuamuru kiumbe (katika kesi yetu Djinn) wakati Kiarabu hakipo hivyo.
Kwahiyo tusiojua hua tunaona hivi viwili ni kitu kimoja wakati siyo kweli.

Hata huyo kiongozi wa Jumuiya naamini anaangukia kwenye kundi hili, hivyo naye hana taarifa sahihi juu ya alichowajibu.

Pia kumbuka, kuna watu wanapandisha mapepo na kuongea lugha na lafudhi ya kimasai, wengine wakipandisha huamuru wawekewe nyimbo za kihindi na kuzicheza (kesi zote nimeshuhudia). Je inatosha kusema kimasai na kihindi vina uhusiano na majini?
 
Kutokana na maandiko yako, kwanza elewa kuwa Kiarabu hakiandikwi kutoka juu kwenda chini. Huandikwa kutoka kulia kwenda kushoto.

Pili, jee, unajuwa kuwa hata Kiswahili kilikuwa kinaandikwa na irabu (herufi) za Kiarabu?

Tatu, unakiona Kiswahili tunavyoandika hapa? Jee, hizi ni irabu za lugha ipi? Maana hizi hizi hutumika kuandika lugha nyingine nyingi duniani.

Unaweza kutumia irabu za Kiarabu kuandika lugha zingine na haimaanishi kuwa umeandika Kiarabu.

Ungeweka kilichoandikwa tunaojuwa Kiarabu tungekusaidia kukujuza kama hicho ni Kiarabu au la na kama ni Kiarabu maana yake nini.

Inawezekana kuwa anaandika Kigogo? Kihehe? Kiswahili?

Who knows?
 
swali lako ni zuri kiongozi

1.kwanza inabidi utambue kwa hapa Tanzania kuna dini 2 kuu Uislamu na Ukristu hawa mimi nawaita watani wa jadi kama vile simba na yanga.Kila upande lazima ikandie na itoe propaganda kwa pande nyingine.

2.Kuhusisha Lugha ya kiarabu na Majini?kwanza naomba nikuambie kitu kuna majini wa kila namna ndio maana unaweza kukuta mtu kapandisha majini anaongea kimasai ,mwingine anazungumza kiingereza,mwingine anazungumza lugha haieleweki na wengine wanazungmza kiswahili fasaha?swali huyu anayezungumza kiswahili fasaha inakuwaje kwahiyo kiswahili ni lugha ya mapepo??

3.Mimi hapa binafsi nilipatwa na majini nikiwa nchini China nikipata mafunzo yangu binafsi ,na nilitupiwa jini na wachina ''Mabudha'' hivyo tambua majini kila mahala wapo na wa kila aina wapo..na pindi natibiwa tabibu wangu alipata shida sana.

4.wakati napatiwa matibabu nilijifunza mengi kutoka kwa mganga ambaye hutoa majini,kuna majini ya kila namna ,labda subiri nikujibu swali lako kuna matabibu ambao hutoa majini au hutuliza kwa kutumia ''Ruqya'',Ruqya ni nini??

"Ruqya"

ni kisomo ambacho huhusisha baadhi ya sura au aya ndani ya Qur an kumsomea mtu aliyepatwa na majini na mara nyingine huandikwa kwenye karatasi na kupewa mgonjwa..Ruqya ni tiba mashuhuri kwa wenye matatizo ya majini miongoni mwa waislamu..kma vile unavyoona mafuta ya mzeituni wanaotumia akina upako na wachungaji wengine hivo hivyo kwa Ruqya....mfano mtu ana majini basi mtu anayetibia au yeyote yule husoma aya hizo na yule mtu hupandisha kisha yule tabibu au yeyote yule huongea na yule jini kumuuliza maswali kadhaa mfano ni kwanini anamsumbua mgonjwa,labda ni nani aliyemtuma, alimuingia vp mgonjwa ,aondoke nk..hii kitu huwa ndio inawachanganya sana wachungaji binafsi mimi hii ruqya nimeitumia kwa jamaa zangu nilivyokuwa bweni pindi wakipandisha majini huwa nawasomea kisha hutulia...misconception ya wachungaji au mbinu tu ya kuwahadaa waumini wao waone lugha fulani ndio ya mapepo na waumini bila ya research huamini na kukariri..


NB:kama awali nilivyosema kuna mtu anapandisha jini anazungumza lugha ya kiswahili,ina maana lugha ya kiswahili ni lugha ya mapepo....Hilo swali ungewauliza hao jamaa unadhani ni jibu gani wangekukupa??mpaka hapo huoni kuwa ni propaganda...

Alamsiki
Mkuu majini bado unayo.mganga hawezi kutoa jini
 
Mkuu!kwa uwelewa wng finyu juu ya hayo nambo sio lugha ya kiarabu tu ila wngne wanaandika au kuongea lugha nyngne km kiingereza na lugha nyngne..kwn me nimeshaona mtu anaongea kiingereza,na wkt yeye ajui hiyo lugha akiwa kawaida..
asante mkuu,ngoja tusubiri na wengine.
 
swali lako ni zuri kiongozi

1.kwanza inabidi utambue kwa hapa Tanzania kuna dini 2 kuu Uislamu na Ukristu hawa mimi nawaita watani wa jadi kama vile simba na yanga.Kila upande lazima ikandie na itoe propaganda kwa pande nyingine.

2.Kuhusisha Lugha ya kiarabu na Majini?kwanza naomba nikuambie kitu kuna majini wa kila namna ndio maana unaweza kukuta mtu kapandisha majini anaongea kimasai ,mwingine anazungumza kiingereza,mwingine anazungumza lugha haieleweki na wengine wanazungmza kiswahili fasaha?swali huyu anayezungumza kiswahili fasaha inakuwaje kwahiyo kiswahili ni lugha ya mapepo??

3.Mimi hapa binafsi nilipatwa na majini nikiwa nchini China nikipata mafunzo yangu binafsi ,na nilitupiwa jini na wachina ''Mabudha'' hivyo tambua majini kila mahala wapo na wa kila aina wapo..na pindi natibiwa tabibu wangu alipata shida sana.

4.wakati napatiwa matibabu nilijifunza mengi kutoka kwa mganga ambaye hutoa majini,kuna majini ya kila namna ,labda subiri nikujibu swali lako kuna matabibu ambao hutoa majini au hutuliza kwa kutumia ''Ruqya'',Ruqya ni nini??

"Ruqya"

ni kisomo ambacho huhusisha baadhi ya sura au aya ndani ya Qur an kumsomea mtu aliyepatwa na majini na mara nyingine huandikwa kwenye karatasi na kupewa mgonjwa..Ruqya ni tiba mashuhuri kwa wenye matatizo ya majini miongoni mwa waislamu..kma vile unavyoona mafuta ya mzeituni wanaotumia akina upako na wachungaji wengine hivo hivyo kwa Ruqya....mfano mtu ana majini basi mtu anayetibia au yeyote yule husoma aya hizo na yule mtu hupandisha kisha yule tabibu au yeyote yule huongea na yule jini kumuuliza maswali kadhaa mfano ni kwanini anamsumbua mgonjwa,labda ni nani aliyemtuma, alimuingia vp mgonjwa ,aondoke nk..hii kitu huwa ndio inawachanganya sana wachungaji binafsi mimi hii ruqya nimeitumia kwa jamaa zangu nilivyokuwa bweni pindi wakipandisha majini huwa nawasomea kisha hutulia...misconception ya wachungaji au mbinu tu ya kuwahadaa waumini wao waone lugha fulani ndio ya mapepo na waumini bila ya research huamini na kukariri..


NB:kama awali nilivyosema kuna mtu anapandisha jini anazungumza lugha ya kiswahili,ina maana lugha ya kiswahili ni lugha ya mapepo....Hilo swali ungewauliza hao jamaa unadhani ni jibu gani wangekukupa??mpaka hapo huoni kuwa ni propaganda...

Alamsiki
asante sana kiongozi.walau nmepata picha hasa hapo kwenye utani wa jadi.mtani wa jadi hawezi kumuongelea mwenzie.mfano haiwezi tokea mtu wa simba amseme mazur mtu wa yanga.asante mkuu
 
Wakristo (au mtu yeyote) anapohusisha lugha ya Kiarabu na majini huku ni kutokana na kutokua na taarifa sahihi na uelewa ikiwa ni kweli hiko anachokiwaza kina uhusiano kama anavyodhania.

View attachment 445572

Pia kuna imani zinajijenga miongoni mwa watu mfano kuchukulia lugha ya kifaransa ni lugha ya kimahaba, naamini na hii imani imejengwa kuizunguka lugha hii pia.
Kuna ustadhi alinifafanulia, akasema kiarabu na kilichoandikwa kwenye Quran ni vitu viwili tofauti, Quran inakupa mamlaka ya kuamuru kiumbe (katika kesi yetu Djinn) wakati Kiarabu hakipo hivyo.
Kwahiyo tusiojua hua tunaona hivi viwili ni kitu kimoja wakati siyo kweli.

Hata huyo kiongozi wa Jumuiya naamini anaangukia kwenye kundi hili, hivyo naye hana taarifa sahihi juu ya alichowajibu.

Pia kumbuka, kuna watu wanapandisha mapepo na kuongea lugha na lafudhi ya kimasai, wengine wakipandisha huamuru wawekewe nyimbo za kihindi na kuzicheza (kesi zote nimeshuhudia). Je inatosha kusema kimasai na kihindi vina uhusiano na majini?
Mwanzoni nilikua naamini hayo ni mawazo ya watu ambao hawajui chochote kuhusu dini.uyo mama wa jumuiya ndio kanifanya nije huku.lakini asante.kwa.ufafanuzi mkuu
 
Kutokana na maandiko yako, kwanza elewa kuwa Kiarabu hakiandikwi kutoka juu kwenda chini. Huandikwa kutoka kulia kwenda kushoto.

Pili, jee, unajuwa kuwa hata Kiswahili kilikuwa kinaandikwa na irabu (herufi) za Kiarabu?

Tatu, unakiona Kiswahili tunavyoandika hapa? Jee, hizi ni irabu za lugha ipi? Maana hizi hizi hutumika kuandika lugha nyingine nyingi duniani.

Unaweza kutumia irabu za Kiarabu kuandika lugha zingine na haimaanishi kuwa umeandika Kiarabu.

Ungeweka kilichoandikwa tunaojuwa Kiarabu tungekusaidia kukujuza kama hicho ni Kiarabu au la na kama ni Kiarabu maana yake nini.

Inawezekana kuwa anaandika Kigogo? Kihehe? Kiswahili?

Who knows?
kiukweli binafsi sina ujuzi wowote kwenye masuala ya lugha.badaae nitaweka picha ya vitu alivyoandika ili kama inawezekana mnipe msaada.pia kuhusu ilo swali ,limetokana na uyu mama wa jumuiya alivyoshtuka na ndio maana nikaja hapa kwakua hapa wapo watu wa dini zote ili niweze kupata ukweli kama vile navyoendelea kuupata hapa
 
Ndugu zetu huwa mnajitahidi sana kukataa hili, ila ukweli kuna uhusiano mkubwa wa quran, kiarabu na majini.

Hivi vitu vinaenda sambamba kama nyanya kitunguu na chumvi.
ungeweka baazi ya vithibitisho au jinsi vinavyohusiana,ingekua vizur zaid
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom