Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Imesemwa sana, lakini sio vibaya tukaiangalia upya. Ni kuhusu haya mashindano yanayoitwa ya urembo. Hivi haiwezekani washiriki kuwa wanavaa nguo za kawaida tu badala ya hizo wavaazo ambazo kwa maoni yangu ni kama kujidhalilisha?
Kipimo kwamba haya mambo hayaendi sawa sawa, ukifuatilia mtoto ambaye malezi yake ya nyuma ni mazuri yaani alillelewa katika maadili mema na familia aliyotoka utaona kwamba hupata shida sana mwanzoni kuvaa mavazi haya. Kama jamii hatuwezi kushauri namna bora zaidi ya mavazi yetu katika mashindano haya?
Nawasilisha kwa michango ushauri na mapendekezo.
Kipimo kwamba haya mambo hayaendi sawa sawa, ukifuatilia mtoto ambaye malezi yake ya nyuma ni mazuri yaani alillelewa katika maadili mema na familia aliyotoka utaona kwamba hupata shida sana mwanzoni kuvaa mavazi haya. Kama jamii hatuwezi kushauri namna bora zaidi ya mavazi yetu katika mashindano haya?
Nawasilisha kwa michango ushauri na mapendekezo.