Lol kwahiyo observation yako imefika hadi xvideos platformHapa ndio nakataa...ingawa labda yaweza kufanya kazi kwa wale wa jinsia ya KE.
Mimi kuna Msichana/Mwanamke nikimuangalia naweza ku imagine kabisa kwamba huyu si wa kutulia...hata kwenye porn kuna sura nyingine mpaka unatamani kuhakikisha kama kweli "anafanya" ili hali kuna sura nyingine unaona kabisa hapa ni kipele kimekutana na mwenye kucha.
Huwa roho inaniuma nikimuona Demu mwenye sura "innocent" anashiriki porn...tena unakuta yupo three sum ya ma men wawili...naumwa roho na wivu wakati huo huo.
Hawa wanakuwaga na pepoKuna wengine hasa wadada ukimuangalia komwe tu unajua hapa Kuna balaa🤣🤣🤣
Mfano Mia KhalifaHapa ndio nakataa...ingawa labda yaweza kufanya kazi kwa wale wa jinsia ya KE.
Mimi kuna Msichana/Mwanamke nikimuangalia naweza ku imagine kabisa kwamba huyu si wa kutulia...hata kwenye porn kuna sura nyingine mpaka unatamani kuhakikisha kama kweli "anafanya" ili hali kuna sura nyingine unaona kabisa hapa ni kipele kimekutana na mwenye kucha.
Huwa roho inaniuma nikimuona Demu mwenye sura "innocent" anashiriki porn...tena unakuta yupo three sum ya ma men wawili...naumwa roho na wivu wakati huo huo.
ht mimi uso wa mtu unanijulisha wewe ni mtu wa aina gani
Muonekano wa mtu hutafasili tabia au matendo ya mtu kwa zaidi ya 75%Natumai wengi mtakubaliana nami kuwa Duniani tupo Watu wa aina tofauti..hii imepelekea wengi wetu kuhusisha baadhi ya matendo na aina fulani ya Watu. Kwa mfano kuna aina fulani ya Watu ukimkuta anafanya shughuli fulani lazima moyo wako utashtuka kwanza na utatamani kujiridhisha ni kwa nini Dada/ Kaka au Mama/ Baba huyo yupo kwenye shughuli ile.
Iwe ni Mwanamke au Mwanaume zipo sura au muonekano ambao utaona Mtu mwingine anatumia nguvu kubwa kukuaminisha kuwa Mtu huyo ni tofauti kabisa na anavyoonekana. Mathalani utamsikia Mtu akikuaminisha jinsi fulani alivyo na roho nzuri au upendo, na kinyume chake Wapo ambao inalazimika Mtu kumuelezea namna alivyo na ukosefu wa dabu na heshima ili tu usihadaike na muonekano wake.
Kuna Mtu ukiambiwa ni Mwizi au Jambazi anayevunja nyumba za Watu usiku basi utabaki na mshangao, na Wapo ambao ukiambiwa hivyo wala hutoshtukakwa jinsi Mtu huyo anavyoonekana.
Inaitwaje?umenikumbusha movie moja ya kikorea ili ujue tabia ya mtu kulikuwa na wataalamu wa kusoma sura yako wanajua tabia yako ikoje
Kuna watu hawana miili, wembamba ila makatili,unakuta mtu bonge ila mwoga.