Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,443
Aina yako ya ashki tu
Afrika hatuna stress ni ashki tu ndio zinatusumbua na kukosa hela
Lakin mimi siko africa 🤦
kwa hiyo punda ukimkuta kariakoo anakuwa ng'ombe ?
😂😂😂😂
Aina yako ya ashki tu
Afrika hatuna stress ni ashki tu ndio zinatusumbua na kukosa hela
Lakin mimi siko africa 🤦
kwa hiyo punda ukimkuta kariakoo anakuwa ng'ombe ?
Umeelewa mtoa mada?Kisaikolojia..
Unapokuw stressed ,stress hulazimisha Mwili unatoa hormone za cortisol na epinephrine , Ambapo kwa zikizidi husababisha kupungua kwa hamu ya kufanya tendo.
Stress inapokuw ni chronic mwili huhitaji cortisol hormone kwa wingi ili kujiponya juu ya stress hivyo huanza kutumia sex hormones kwa ajili ya production ya cortisol.
Ambapo hupunguza hamu yako ya kufanya tendo.
Nilikuongopea nini?Usiache ila punguza uongo..
Tunatofautiana situation km hyo ingenikuta mimi ingekuwa tofauti ingekuwa km nilivoandika juuHv mwanakwetu unazijua stress wewe? Tofautisha kati ya msongo na kuvurugwa!
Stress ikikuchapa vzr you can't even feel the presence of your sex organs...
Nilibambikwa kesi ya mauaji ya bodaboda, ikawa anasubiriwa jamaa mmoja ahojiwe ndio anitaje nikawe mtuhumiwa namba moja, sitaisahau ile wiki aisee ushirikina una umuhimu wake...
Kwa wengine ni directly proportional. UsikaririStress and Sex is inversely proportional
Duh kumbe sio pekee ynguSijui kuna uhusiano gani
Hata mie niko hivyo
Huo ni ulemavu kitaalam psychotic depression ni moja wapo ya dalili za schizophrenia yaani loss contact with reality, mazingira yanakutaka ufanye “a” wewe unafanya “z”Tunatofautiana situation km hyo ingenikuta mimi ingekuwa tofauti ingekuwa km nilivoandika juu
Labda sio binadamu huyo!Kwa wengine ni directly proportional. Usikariri
Afrika hatuna stress.Aina yako ya ashki tu
Afrika hatuna stress ni ashki tu ndio zinatusumbua na kukosa hela
So ulichomokaje?Hv mwanakwetu unazijua stress wewe? Tofautisha kati ya msongo na kuvurugwa!
Stress ikikuchapa vzr you can't even feel the presence of your sex organs...
Nilibambikwa kesi ya mauaji ya bodaboda, ikawa anasubiriwa jamaa mmoja ahojiwe ndio anitaje nikawe mtuhumiwa namba moja, sitaisahau ile wiki aisee ushirikina una umuhimu wake...