dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,058
Tangu wife ameshika ujauzito kwa kweli Tunda nalila kwa shida sana sometime mpaka unamaliza week 2 ndo napewa namega tena hapo nimeomba sanaa full kulalamika wakati zamani nilishazoea kula tunda karibia kila siku ukipumzika yuko period au anameza dawa
naombeni experience zenu na nyie
naombeni experience zenu na nyie