Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Wapwa zangu natumai mu nguli kabisa. Huwa najiuliza sana hivi kuna siri gani kwenye makalio makubwa ya akina dada? maana nimeona mara nyingi sana akina dada wenye makalio makubwa ndo wana soko sana, na hata kama dada akikatiza mitaa, utawaona akina kaka wanavyotoa udenda. please nisaidieni hivi kuna nini? inakuwa ni tamaa ya ngono au mapenzi?