Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,262
Duh sawa kwa kuwa umeleta vitabu vitakatifu siwezi kupinga uko sawa,VP kuhusu chapa ya mpinga kristu 666 na ONE ORDER mbona kam vitu vingi mda mchache bado cjazungumzia covid na Bitcoins ,ivi unawaamini NASA na theory zao.Ukifanikiwa kuiona hiyo movie 'hornet' hao actors walikuwa wametengeneza robot ambayo walienda nayo milimani kwenye adventure zao, hiyo robot mwanzoni iliwalinda na attacks za aliens, baadaye ikaonekana kama aliens wame re-programe hilo robot na kulitumia against wale actors. The other thing waliokuwa wanafanya mashambulizi ni kama binadamu ambao walikuwa wanaonekana kama mazombi.
Ninachoweza kusema hapa, hao aliens watakapowasili duniani wataingiza roho chafu ya kufanya maasi kwa baadhi ya binadamu possibly ambao wapo inclined kwenye uasi au kutenda uovu au wana direct affiliation na devil kudhuru binadamu wenzao na kuleta hali ya taharuki kuu kila mahali duniani. Pia wataweza ku re-programme teknolojia mbalimbali zilizotengenezwa na wanadamu, mfano robots ili zitumike kufanya maasi waliyokusudia kuyafanya kwa wanadamu. Ukifuatilia kwenye maandiko ya biblia hasa kwenye kitabu cha Danieli na ufunuo wa Yohanna, hiki kipindi kinatajwa kama kipindi cha dhiki kuu (great tribulation). Ni kipindi kinachoashiria matukio ya mwisho wa ulimwengu ambapo ulimwengu utaingia katika hukumu.