SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Na wewe una uhusiano gani na yule Kaoge maana mnaonekana pamoja mara nyingi?
Wanafanana tabiaNa wewe una uhusiano gani na yule Kaoge maana mnaonekana pamoja mara nyingi?
I mean wakudadavuaHuyu dada si kaka,kwa asili ni kaka lakini amejimodify sasa ni mdada,Huyu namfaham sana kama atabisha nu attach picha yake!!
Tatizote lako Unafikiri kila jambo utalijua kwa kupiga ramli,Acha unga arosto itakuuaI mean wakudadavua
Wewe si ndio kaoge?ndio maana mlimpinga Mh.KigwangalaNa wewe una uhusiano gani na yule Kaoge maana mnaonekana pamoja mara nyingi?
Haitoshi tu kulike lazima niseme umegusa white houseKuna uhusiano gani kati ;
Card.Pengo na CCM
Dr Slaa na CCM
PROF Lipumba na CCM
Shekhe wa mkoa wa Dar na CCM?
Hahahaha fisadi kuuGwajima ni mshenga kwa chadema, ndiye alihusika kuleta fisadi kuu ndani ya chadema......dr slaa ni shahidi.
Usiwapangie watu sehemu ya kusali, hamia tu chadema maana si kwa mahaba hayo. Kila siku chadema chadema chadema, pilipili ya shamba yakuwashia nini? We unaonekana huwa unaenda mpaka kuonja chumvi kwenye chakula cha jirani...Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.
Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????
Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu
Uhusiano wa Nyumbu na Mzee wa Misukule ni poda. We angalia akili na Maneno ya Gwajima alafu akili za Chadema kama si pods ni nn , huyu Mzee kawafayatua nati kichwaniUhusiano wao ni wa kufuta udikteta wa konda
Kuna uhusiano gani kati ;
Card.Pengo na CCM
Dr Slaa na CCM
PROF Lipumba na CCM
Shekhe wa mkoa wa Dar na CCM?