Huyu jamaa labda alipewa kazi ya kuandika majina na vyama wanavyotoka waumini wote wanaohudhuria ibada kwa Gwajima. Ndio maana akaona wengi ni wanachama na viongozi wa CDM.Wewe ni mchochez hicho ndicho ninacho kiona kwako.
~Chadema walitengewa kanisa?mbona unaleta ubaguz wako hapa tz?
~Au ni wanyama hawatakiwi kuchangamana?kwann uwatilie mashaka kuhusu maamuz yao ya kusali?
~Hivi wangeingia msikitini uzi huu ungeuandika kwa namana ipi?kwa nn ww unauchochez?
~Kabla ya kuja hapa ungesoma kwanza katiba ya nchi uone namna uhuru wa kuabudu,kuchagua din,nk
~Hao chadema wangeingia EAGT,TAG na FPCT ungesemaje.
~FIKIRI KABLA YA KUTENDA.
Mkuu hisia zako tuHuyu jamaa labda alipewa kazi ya kuandika majina na vyama wanavyotoka waumini wote wanaohudhuria ibada kwa Gwajima. Ndio maana akaona wengi ni wanachama na viongozi wa CDM.
Ni umoja wa Wapinga haki?Uhusiano uliopo kati ya chadema na Gwajima ni HAKI.
Acha jazba dogo,jenga hoja bila kupanikNaona Lumumba wamejipanga vizuri. Mwenzao hata akipost utumbo, wanapeana taarifa kuwa already there is a thred, wanachangia wenyewe ili ionekana people have interest in the thread!
Labda ni hisia zangu. Je wewe mkuu sio hisia zako tu kuona watu wanaenda kwenye ibada na kuanza kufikiria mambo ambayo huwezi kuyathibitisha? Wakudadavua siku hizi hoja zako nyepesi mno sijui nini kimekupata. Umechepuka, rudi kwenye hoja za kufikirisha. Hizi za umbea achana nazo.Mkuu hisia zako tu
Ha ha ha haaa ... yani leo nimeamini humu ndani kuna watu hawajielewi wanafanya nini ...Tatizo lako ni kuchanganya mambo,Jielekeze kwenye hoja
Kumbe umeona post yangu eh!Acha jazba dogo,jenga hoja bila kupanik
Ehee kunywa maji upunguze hasiraKumbe umeona post yangu eh!
Kuna uhusiano gani kati ya Polisi na CCM ?Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.
Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????
Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu
Uhusiano uliopo ni kwamba wote ni wauza nganda na wote wana wafuasi wasiojielewa.
Punguza jazbaUkichunguza vyema unaweza hata kukuta kuwa Mumeo ni Muuza Ngada pia
Jibu swali na sio kutunga swali lako,kama dawa imekuingia tuliaKuna uhusiano gani kati ya Polisi na CCM ?
Usipanik,kunywa maji kwanzaUhusiano ni Daudi Bashite kuonesha Vyeti tuuuuu!!!
Akili ndogo hiiUhusiano ni Daudi Bashite kuonesha Vyeti tuuuuu!!!
Una point hapaHuo ni umoja wa unga. Si hata Ubaya alitoka CCM ili akaongeze nguvu!