Kuna uhusiano gani kati ya CHADEMA na Gwajima?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.

Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????

Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu
 
Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.

Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????

Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu
Kama CCM na Pengo
 
Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.

Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????

Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu
kama ccm na pengo
 
wanaoonewa na chadema....wanaoonea na ccm.
wanaotukanwa malofa na cdm...mabwanyenye na ccm.
wanaofungwa bila hatia na cdm....wanaopeta na niwahalf na ccm.
 
nijuavyo mm jemedari wa vita ya madawa ya kulevya ni kamishna wa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya na kwa uwezo wangu wa kuhabarika kupitia various news source cjawahi kusikia CHADEMA wanapambana na kamishna huyo.....Km vita hipo kweli kwa tafakuri zangu km ikitokea ikidhorota si kwa sababu ya CHADEMA na Askofu mchungaji Gwajima......Kwa 7bu vyombo tendaji na husika vipo.
 
wanaofungwa kwa uonevu na cdm....waonevu na wenyehatia mtaani na ccm!
wanaotukanwa malofa na cdm....mabwanyenye tumbo mbele na ccm.
wanaofukuzwa kwa kukosa vyeti japo wametumikia kwaustadi na cdm....wanaonunua vyeti kibashite bashite na.....
 
Katika wiki za karibuni kumekuwa na ushirika mkubwa sana kati ya Chadema na wafuasi wake wakishirikiana na Gwajima.Naam nimeshuhudia kwa wingi wa kutosha viongozi na wafuasi wa Chadema wakiwa washabiki wakubwa kuhudhuria ibada katika kanisa la "ufufuo na uzima" linalomilikiwa na Gwajama aka mzee wa misukule.

Je wote wameamua kudhoofisha vita dhidi ya mihadarati? au kanisa la Gwajima ni tawi la Chadema?...au?...au????

Wenye ujuvi wa mambo tupeni elimu

Uhusiano wao ni wa kufuta udikteta wa konda
 
Back
Top Bottom