kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,573
Nimekuwa mfuatiliaji wa vipindi hasa kwenye channel za Azam 1, 2 & HD ila kuna ufanano kati ya hizi channel na ZBC 2. Hasa kwenye uwekaji wa ratiba za vipindi (EPG).
Pia ZBC2 kutangazwa Azam japokuwa ZBC2 inamilikiwa na serikali ya Znz. Kabla ya kuanza kwa Euro walitangaza kuwa wataonyesha kupitia ZBC 2, swali ni kwanini wasingeonyesha kupitia Azam HD ambayo inaonyesha marudio ya LA Liga???
Pia ZBC2 kutangazwa Azam japokuwa ZBC2 inamilikiwa na serikali ya Znz. Kabla ya kuanza kwa Euro walitangaza kuwa wataonyesha kupitia ZBC 2, swali ni kwanini wasingeonyesha kupitia Azam HD ambayo inaonyesha marudio ya LA Liga???