Waungwana, kama wewe ni mwenyeji wa maeneo ya sinza, mwenge au maeneo mengine yaliyokaribu na sinza utakuwa unaifaham Meeda bar.
Ni bar maarufu sana maeneo ya sinza mori barabara ya kuelekea mwenge. Kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya wateja kuibiwa mali zao kama magari, pesa, simu, vito vya thamani, laptop na vingine vingi. Ila pia wizi huu mara nyingi unafanyika baada ya mteja kuwekewa dawa za kulevya kwenye kinywaji.
Ni kweli kwamba uongozi wa meeda hauna taarifa na matukio haya? Je kama wanataarifa wamechukua hatua gani? Je ni kweli kwamba hawawajui hawa wanaofanya mchezo huo? Kuna uhusiano gani kati ya meeda na hawa wezi? Matukio ni mengi na yamewakuta wengi.
Ni bar maarufu sana maeneo ya sinza mori barabara ya kuelekea mwenge. Kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya wateja kuibiwa mali zao kama magari, pesa, simu, vito vya thamani, laptop na vingine vingi. Ila pia wizi huu mara nyingi unafanyika baada ya mteja kuwekewa dawa za kulevya kwenye kinywaji.
Ni kweli kwamba uongozi wa meeda hauna taarifa na matukio haya? Je kama wanataarifa wamechukua hatua gani? Je ni kweli kwamba hawawajui hawa wanaofanya mchezo huo? Kuna uhusiano gani kati ya meeda na hawa wezi? Matukio ni mengi na yamewakuta wengi.