Umemaliza kila kitu mkuuUkienda kwenye Kijiji ukakuta wanakijiji wote ni chongo na wewe una macho yote, fumba jicho Maja ili ufanane nao. Kwenye Maisha ukitaka uishi vizuri bila mgogoro na jamii epuka u ukawa ukawa. Usipende Sana kujenga hoja na kukosoa kilicho azimiwa, wanaweza kukuazimia. By the way garama hizo ni ndogo Sana
Hii bado sijaelewa ningependa kupata au kujua ukweli, ukiwa kwenye biashara mitaani ni lazma ulipe hela ya ulinzi shirikishi hata kama kuna mlinzi kwenye fremu zenu? Hii ni nchi ya aina gani na tunapelekana wapi? Naombeni kujua ukweli.
Kwa hiyo nilipe tuHuo ndiyo utaratibu uliowekwa katika eneo lako. Hivyo huna namna. Lipa ili usionekane tofauti na wengine.
Kama hao sungusungu wanasaidia zoezi la usalama kwenye hilo eneo, huoni bado ni msaada kwako? Isitoshe hiyo hela yenyewe ni kiasi gani mpaka ikuume kiasi hicho?
Ndiyo maana yake. Lipa ili biashara yako pia iwe salama kwa 100%.Kwa hiyo nilipe tu
Hana honore anategemea mbioHivi wewe unaakili? Unafikiri watu wa kazi wa ukweli wakikutembelea huyo mlinzi wako mwenye gobore atawezana nao.?
Huu ni uongo unataka kumpotosha mtoa mada, makubaliano ya ulinzi hufanywa na mkutano mkuu wa mtaa/kijiji.Huu ujinga nilishaukataa mapema sana na ninapokaa wananifahamu mimi ni nani!,Huwa sitakagi mambo ya kipumbavu!.
Hawa ulinzi shirikishi sijui Sungusungu ndiyo wezi namba moja!.
Hii ishu ilinipeleka mpaka mahakamani wakati fulani na nikawashinda sasa wanabakigi "Ipo siku utaibiwa halafu usije kulalamika kwenye serikali ya mtaa" ,Niliwaambia huyo atakayejaribu kuiba kwangu atakuwa mwanaume kunizidi,mimi ninachaoamini mwanaume anayenizidi uanaume wangu ni Mkuu wa Majeshi tu!,Hilo huwa nawaambia hata nikienda kwenye mikutano yao hiyo ya kijinga kusikiliza hoja zao za kijinga jinga.