Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
ahahaaa so naandika toka ahera?we utakuwa ushakufa, unatafuta sababu tu
ahahaaa so naandika toka ahera?we utakuwa ushakufa, unatafuta sababu tu
decision au upuuzi tu maamuzi ya kijinga kabisa kusex na limume la mtu ....It does not need couqage, but DECISION
decision au upuuzi tu maamuzi ya kijinga kabisa kusex na limume la mtu ....
hahahahaaaaa dah nilichukia cku moja et natongozwa na mlinzi "security guard wa ofcn kwetu" duh niliishia kucheka sku nzima! raha utongozwe na vijana rijali wenye nafasi zao hata kama huwakubali ila eeee..... utamalizia!
Dah... Napita tu. We lazima utakuwa mwalimu au mwana wa sailojiaNdugu,
Nimepitia message karibu zote, Nimepata maswali ambayo yanahitaji majibu.
1. Kwanini mtu anatongoza / anatongozwa?
2. Kwa nini mtu anakataa / anakubali akitongozwa?
3. Kwanini wakati unatongozwa uanze kujiuliza kama mtongozaji ni konda/muuza kahawa, mlinzi n.k?
4. Mbona mtongozaji hajiulizi kama mtongozwaji ni muuza bia kwenye baa, muuza mchicha au karanga mtaani?
Kumbuka
Huyo Konda/ Mgalisha Viatu, Mlinzi au Muuza Kahawa anaweza kuwa rijali kuliko mwenye kazi nzuri na mtanashati.
Unasepa bila kubanduliwa? Huwa sitongozi kama kilimo cha mboga bustanini... Kwamba namwagilia leo mavuno wiki ijayo.
nani kakwambia?hv una courage ya kulala na mume wa mtu?
urijali wa mwanaume ni nini mkuu hebu niambieNdugu,
Nimepitia message karibu zote, Nimepata maswali ambayo yanahitaji majibu.
1. Kwanini mtu anatongoza / anatongozwa?
2. Kwa nini mtu anakataa / anakubali akitongozwa?
3. Kwanini wakati unatongozwa uanze kujiuliza kama mtongozaji ni konda/muuza kahawa, mlinzi n.k?
4. Mbona mtongozaji hajiulizi kama mtongozwaji ni muuza bia kwenye baa, muuza mchicha au karanga mtaani?
Kumbuka
Huyo Konda/ Mgalisha Viatu, Mlinzi au Muuza Kahawa anaweza kuwa rijali kuliko mwenye kazi nzuri na mtanashati.
ulikuwa hujui kuna wengine wanainjoy kusex na eti na mzee wa usharika....Aisee, kuna magonjwa ya aina nyingi sana.
mmmh mi sijui
raha ya kutongozwa inategemea na mtongozaji bwana......
sio unatongozwa na waume za watu.makonda,watoto wadogo ... wacongo....mapadre ufurahie...
mimi kwangu inategemea ananitongoza nani....
kiukweli kuna magroup huwa sipendi wanitongoze especially waume za watu ...kweli nachukia tongozo zao toka moyoni kabisa
huwa naumwa kabisa ...kabisa...
hahahahaaaaa dah nilichukia cku moja et natongozwa na mlinzi "security guard wa ofcn kwetu" duh niliishia kucheka sku nzima! raha utongozwe na vijana rijali wenye nafasi zao hata kama huwakubali ila eeee..... utamalizia!
ahahaaa fidel oooh sasa sister nipe kimoja fasta basi nipotezee mwana............Naona mateja hujataja hapo hao vp?
ahahaaa fidel oooh sasa sister nipe kimoja fasta basi nipotezee mwana............
mi bikra hayo sijui bana.........................Jamaa zangu waendesha daladala wanasema wake za watu wanawapenda sana mateja akipanda kifuani habanduki mpaka anusishwe stata ndo anatelemka sasa majimama wanawapenda sana hao anakata ukame wa wiki au miezi kadhaa
hv una courage ya kulala na mume wa mtu?