Muhitimu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2022
- 252
- 251
Tuhuma nzito Sana hizi....angalia usiwe unachafua majina ya watu kwa sababu binafsi.Kaa kimya.. Bodi ya Auwsa chini ya Dr. Masika hipo Makini shida ni Waziri na Rujomba wanausika na Ufisadi wa Mradi wa A to Z na Mradi wa Longido- Namanga