Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Hata nikisimulia matukio ya kichawi niliyo wahi shuhudia bado watu watabisha kwanini? kwa sababu hawamini uchawi..Wowote unaoweza kuthibitisha uchawi upo uweke.
Hata nikisimulia matukio ya kichawi niliyo wahi shuhudia bado watu watabisha kwanini? kwa sababu hawamini uchawi..Wowote unaoweza kuthibitisha uchawi upo uweke.
Weka uthibitisho kuonesha ndoa ilivunjika kwa uchawi na na sio kitu kinginekama umeo ruhusu watu wavunje ndoa yako kwa uchawi siunataka ushuhuda
Nikwasababu matukio ni personal experience na personal experience ni logical fallacyHata nikisimulia matukio ya kichawi niliyo wahi shuhudia bado watu watabisha kwanini? kwa sababu hawamini uchawi..
Hizi ni sound tu.....kama mfumo haujakukubali sahau kuoanda cheo au kuongezwa mshahara...ni bahati sanaPerformance ya mtu pamoja na nidhamu ya kazi ndio inampa mtu nafasi ya kukua kazini. Inaelekea huyo rafiki yako anavyo vyote ila sababu anaamini kwenye hizo mambo basi ataona ndio zinamsaidia kumbe juhudi yake binafsi na mapenzi ya Mungu vinatosha
Awamu hii vituko vyote tutavionaHabari,
Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo
Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara ila sasa usemi wake kila akiniona ofisini ananiambia mdogo wangu karoge, hangaika
Je, naomba kujua kama kuna ushuhuda wa ukweli kuhusu uchawi wa namna hii upo kweli?
Nipe namba yake,
utapeli tu ndo umekithir saizHabari,
Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo
Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara ila sasa usemi wake kila akiniona ofisini ananiambia mdogo wangu karoge, hangaika
Je, naomba kujua kama kuna ushuhuda wa ukweli kuhusu uchawi wa namna hii upo kweli?
Na wewe hujajiongeza kama mwenzako?Kuna jamaa angu alikua anampenda demu flani......akaenda kwa mganga flani sijui alimjulia wapi na nilimsindikiza mim mwenyew.....siku hyo tumetoka tu kwa mganga .......ilikua usiku......asubuh ghafla jamaa anagongewa mlango na demu........
Akamuomba jamaa watoke nje waongee.......bwana wee....si demu akaanza kujieleza kiasi gani anampenda kishenzi na usiku huo hajalala kumuwaza tu mshkaji......jamaa nae ili kulevel Mambo akamwambia tu demu kwamba nae ni kitambo anampenda demu ila alikua anashindwa tu kumwambia.........
Wakaanza mahusiano...
Hiyo ilikua 2012.....mwaka 2016 walioana na sa hv ni wanandoa na watoto wawili.....
Huwa najiuliza maswali mengi Sanaa kwnye hili nililolishuhudia na majibu sipati
Uchawi wa namna hiyo ungekuwepo, wa kwanza kuingia kwenye hizo nafasi na kupata pesa nyingi ni mchawi mwenyewe.Basi maisha yangekua simple sana, watu tusingekubali kupoteza pesa kusomesha watoto wetu wakati kwa mganga mambo supa
Lakini hata hivyo tungeona zile department nyeti zina endeshwa na mabosi waganga ambao wamekubuhu kwa uchawi
Uchawi kama ilivyo dini unahusu imani. Imani maana yake ni kukubali uwepo wa kitu hata kama hakuna ushahidi wa kuwepo. Ndugu zangu Wakristu, Waislamu, Wahindu, Wapagani, na wengineo wanaamini kuwepo kwa Mungu, lakini hawana uthibitisho wa uwepo wa Mungu. Kuna wale wajiitao Atheist, wao wanasema kuwa kama kweli Mungu yupo, utolewe uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu. Mpaka sasa kuna waumini wengi hawana uhakika na kuwepo kwa Mungu lakini wanaogopa kuwa na shaka hiyo kwa sababu wanatishiwa na moto wa Jahanamu. Cha ajabu kuliko vyote, ni wachawi kuwa na imani ya kuwepo kwa Mungu huku wakiendelea na yale yasemekanayo yanakatazwa na Mungu. Ukweli ni kuwa wachawi wapo, uchawi upo, swali ni je uchawi unafanya maajabu ambayo watu wanadai unafanya? Pamoja na wachawi na uchawi kuwepo lakini nguvu na uwezo unaosemekana wanao ni uongo mtupu. Wewe ukiwa unaamini uchawi, utafanyiwa mazingaombwe na kuamini, lakini hamna lolote. Miaka ya 70/80 nikiwa nafanya kazi sehemu fulani, kulikikuwa na madareva wawili, mmoja Mmakonde na Mwingine anatoka Moa, Tanga. Basi hawa wawili kila siku kutambiana na waliogopwa saana. Siku moja yule Mmakonde alikosana na mfanya kazi toka Mara. Wakapeana maneno, na yule jamaa wa Mara kamwambia Mmakonde kuwa "nasikia unajidai wewe ni mchawi na unaogopewa. Hapa kwangu umefika na ukifikiria tu kuniroga unaanguyka na kufa. Watu wote kazini walishangaa ujasiri huyu jamaa wa Musoma. Watu walidhani atadhurika lakini hadi leo anadunda na nafikiri yuko kwenye 80 na maisha yake ni mazuri. Basi pakle kazini wakavumisha kuwa huyu Bw. ni mchawi wa kupindukia. Mimi niliwahi kuongea naye kuhusu hili, akasema huyu Mmakonde si lolote. Watu wanaomuogopa tu. Hizo dunguli zake ni kwa waoga tu. Akasema yeye anaogopa mtu akimtishia kumkata panga na wala si uchawi.Hayo mambo yapo sana na bila hivyo hutoki lazima uwe na upande umesimamia sehemu yoyote Kama ni Mungu Basi kwa kiwango Cha kujua vifungu vya kukuongoza kwenye Kila Jambo wewe Kama wewe na Kama ni upande wa waganga kwenye sehemu yoyote usimwamini mtu labda Kama unafanya kwa utafiti wako ukapata mtu sahihi maana Kuna mengi huyo anayekupeleka anaweza kukuharibia pia baada ya kujua mambo yako ya sirini, kitu kinachowasaidia wengine nikupata mafunzo kwa wale waliokulia kwa mabibi na babu zao wakawa wanajua hayo mambo huwa wanawaelekeza mbinu za kufanya kujisaidia kwenye maisha ambazo hazina madhara. Ila kwenye kazi kanuni za juhudi, maarifa, na maadili zikizingatiwa.