nilimaindi nyuzi nyingne zinatia hasira usipochangia ndo hasira zinaongezeka
Kwa iyoInatengemea na ukubwa wa yai au kuku
Kuku akitaga yai kuku mkubwa yai likitio kifaraga yai kubwaKwa iyo
Wewe na manii nani mkubwa ukijua Hilo jua kuku mkubwaKama mkubwa kuku. Uyo kuku angetoka bila yai? Na Kama mkubwa yai. Yai limetagwa na nani? Kama sio kuku ? Msaada wenu the great thinkers
Mkuu Mbona uko siko sasa?Wewe na manii nani mkubwa ukijua Hilo jua kuku mkubwa
Nikama kusema shahawa na kiumbe na mkubwa. Huwezi ukawa na shahawa au ukammbebesha mimba mwanamke kama huja barehe. Yayi aliwezi likawepo kama hakuna Kuku mbili jogoo na joke zenye uwezo wakutengeza yayi. Kwahi jibu umepata hapo.Kama mkubwa kuku. Uyo kuku angetoka bila yai? Na Kama mkubwa yai. Yai limetagwa na nani? Kama sio kuku ? Msaada wenu the great thinkers
Swali halijibiwi kwa swaliWewe unaonaje?