my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Wakati nikiwa mdogo wazazi wangu walinitoboa kla sikio kishimo kimoja. Mimi nimependa kuongeza, nimeenda kuongeza kla sikio vishimo viwili jumla vimekuwa vitatu kla sikio. Sasa leo mama ameniona nimevaa hereni ameanza kusema kwann nimetoboa? Kwann sikumwambia km natoboa? Ati unatabia za ajabu unaiga tu. Ati nisikuone unavaa hereni kwa hayo mashimo mengine km kuvaa vaa kwa shimo moja tu kla sikio 🙄 namuuliza kwann anasema "ndio nimesema sitaki kukuona unavaa mihereni mingi" nimebaki nashangaa 😨
😨 Kwan kuna tatizo mtu kuvaa hereni nyingi? Hivi kwann wa mama wa kiafrica wanapenda sana kukuza mambo? Ati kwann sikumwambia? km vile sikio lake. Mwili wangu lakn anataka nimpe habari kla ninachofanya kwa mwili wangu.
😨 Kwan kuna tatizo mtu kuvaa hereni nyingi? Hivi kwann wa mama wa kiafrica wanapenda sana kukuza mambo? Ati kwann sikumwambia? km vile sikio lake. Mwili wangu lakn anataka nimpe habari kla ninachofanya kwa mwili wangu.