Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

hizi mada za kunyoa nywele za mkuntuni zimezidi nowdays mmh!! Kizazi kinapotea taratibu, mambo ya utandawazi hayo.
 
Duuuh, dume zima na midevudevu yangu kabsa najikunja napitisha shaver shaah, shaah, shaaah.huu ni uwendawazimu hakynani.
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
kama una wateja wanaotumia hilo duka n muhimu upalilie hzo nyasi uondoe sio mpaka jumamos ya mwisho wa mwezi,halafu uende ukapimwe uwezo wa akili kabla hujaenda kulazwa milembe
 
Aaaah usinyoe kata mavi mkuu!!

Long time ago unajua nlkua mvivu kunyoa vuzi sasa siku nikaamua kunyoa nlpomaliza nkaleta mbwembwe eti nikanyoa na kata mavi zooote!

Bwana wewe zikianza kuota vile visiki vinachoma na kuwasha yaan unakua haupo free kbsa!

Then hata demu wangu aliniuliza mmmh vipi mbna umenyoa huku!!!!!( naona alinihisi vibaya)

Usiondoe hzo mkuu !!!
 
i hope ulijirecord video. please hebu tupe turtorial ya hicho ulichojifanya na style uliyokaa ukafanikisha mchongo.
Hapa imezungumzwa kujinyoa sio kujirekodi ...Kama unataka style za kujinyoa njoo nikufundushe nitakuweka style zote na tundu itakuwa safi hio
 
Guys kama vipi mtu ajitoe chambo atupe turtorial jinsi ya kujinyoa mavuzi ya mkuntu.
 
Back
Top Bottom