hizi mada za kunyoa nywele za mkuntuni zimezidi nowdays mmh!! Kizazi kinapotea taratibu, mambo ya utandawazi hayo.
kama una wateja wanaotumia hilo duka n muhimu upalilie hzo nyasi uondoe sio mpaka jumamos ya mwisho wa mwezi,halafu uende ukapimwe uwezo wa akili kabla hujaenda kulazwa milembeWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Hahaaaaaa..,Ungeweka picha mkuu wengine hawajawahi kuona huo mfereji
tupe uzoefu kwani zamani kulikuaga hakuna mambo kama haya?
Write your reply...Msiogope wajameni mi nimetoka kujinyoa Sasa hivi
HahaaDuuuh, dume zima na midevudevu yangu kabsa najikunja napitisha shaver shaah, shaah, shaaah.huu ni uwendawazimu hakynani.
Haha haaWeka picha tuone zilivyokaa mi ni kinyozi wa hizo sehemu
Hapa imezungumzwa kujinyoa sio kujirekodi ...Kama unataka style za kujinyoa njoo nikufundushe nitakuweka style zote na tundu itakuwa safi hioi hope ulijirecord video. please hebu tupe turtorial ya hicho ulichojifanya na style uliyokaa ukafanikisha mchongo.
Izo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namna