Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Mkuu bila shaka haya ni mandalizi ya kuingia Ikulu
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
dalili za ushoga
 
Umenikumbusha sekondary imebidi nicheke kwa kumkubuka jamaa angu aliulizaga tukachekanà sana japo wote tulikua hatujui lolote ila tulikua tunamkataza kuzinyoa Ni hivi hutakiwi kuzinyoa kwanza mwanaume kujigusa maeneo hayo zaidi ya nusu dakika unatafuta nini ukishajitawaza inatosha
sometime zinakuaga ndefu ila huwaga zinapungua zenyewe wakati unajitawaza zinaondoka outomatic
kama zinakusumbua au zinakubugudhi labda kwa ukavu wake ruksa paka mafuta ila si lazima rejea hapo juu si ruhusa kujishika sehemu izo kwa zaidi ya nusu dk
 
Habari wana Jf

Katika pitapita zangu nimekutana na vijana wakibishana kuhusu swala ya mtoto wa kiume kunyoa nywele zinazozunguka sehemu ya haja kubwa.

Wengine wakisema sio sahihi mtoto wa kiume kufanya hivyo.

Wengine wakisema kuwa ni sahihi kunyoa hizo nywele kwasababu ni uchafu.

Nini mitazamo yenu juu ya hili??

Kwangu mimi nipo bega kwa bega na wazee wa kupinga kunyoa hizo nywele.
 
Kuna mambo mwanaume unaweza ukawa unayafanya kwania nzuri kwa ajili ya kujiweka swafi wewe mwenyewe lakini ukisema hadharani huwa nanyoa hizi sehemu basi unaacha maswali.

Unanyoa ili aone nani?

Na unajinyoaje au anakunyoa nani?

Hayo ni mojawapo ya maswali unayoweza ukaulizwa.

Ni sawa tu na kupaka mafuta matakoni.
 
Back
Top Bottom