zamuhalelu
Senior Member
- Oct 5, 2017
- 140
- 131
- Thread starter
- #21
Mkuu hii topic inahitaji mawazo na ushauri wako mkuukweli magu katunyosha....sio kwa topic hi aiseeee...
Mkuu hii topic inahitaji mawazo na ushauri wako mkuukweli magu katunyosha....sio kwa topic hi aiseeee...
Hata wanawake wanazo mkuu sasa ..Ushajiukiza kwanini Mungu aliziweka hapo na si kwemye ulimi?
Weka picha tuone zilivyokaa mi ni kinyozi wa hizo sehemuWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Mie hii Titicomb bado sijaelewa kabisa yani labda nikuulize tu...Hivi dume la simba linapotaka kunyoa zile nywele za kuonesha kwamba yeye ndio dume lilikomaa maana yake nini? Linataka mgogo wake uwe laini kama jike liweze kutamaniwa kupandwa na madume mengine.
Mkuu nashkuru kwa mchango na swali lako pia...".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "
UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa au ndio unatangaza mapenzi ya kinyume na maumbile hapa??
duuuuuUngeweka picha mkuu wengine hawajawahi kuona huo mfereji
Kwani we hupaki mafuta kwenye nywele za kichwa mkuu ??unataka kupaka mafuta au ?
and vice versa can be true
Mkuu umenena vyema mana mie nimeweka hii ili ijibiwe ....Kaomba ushauri sio matusi mshaurini anyoe au hayanjolewi
nimecheka mpk machozi LooohNjoo nikunyoe usipate shida tatizo litakuwa kwako umesema kwenu ndio makata mavi sio ukiyanyoa itabidi uingie chooni na wa kukatia hayo mavi baada ya makata mavi kuyakata.
Kama sivyo utakunya marefu bila shaka maana makata mavi yatakuwa ayajaota hayo makata mavi kwani kwenu wapi huko kwenye hayo makata mavi?
Tanzania kubwa hii na tamaduni tofauti sikuulizi kama mnajitawaza hapa nauliza hayo makata mavi
Nyoa kwani ni sawa na nywele nyinginezo zote mwiliniMkuu umenena vyema mana mie nimeweka hii ili ijibiwe ....
Nipe we muono wako mkuu
Tehehehehe. Doh..Ukiona mtu anasafisha nyumba yake ujue kuna ugeni zamuhalelu
Izo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namnaWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Sawa mkuu nakubaliana na wewe kabisa hawa wanaosema hazinyolewi bado hawajanitosheleza kwa hoja kabisaaaaaaaNyoa kwani ni sawa na nywele nyinginezo zote mwilini