Kuna ubaya kumwambia Mtu r.i.p?

holy holm

JF-Expert Member
May 6, 2017
4,670
8,670
Naomba mnijuze kama kuna ubaya kumwambia mtu aliye hai hilo neno la rest in peace (r.i.p) maana navyo jua tafsiri yake ni pumnzika kwa Amani.
Jana nilimuuliza demu wang anafanya nn usiku akasema amepumnzika tu basi nikamwambia r.i.p alitoa povu sanaa...
Au nilikosea kusema ivo?
 
R.I.P. : Rest In Peace (Latin: Requiescat in pace) is a short epitaph or idiomatic expression wishing eternal rest and peace to someone who has died.
Unapomuwish huyo marehemu apumzike kwa amani huwa anajua kinachoendelea au kukusikia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom