Mkuu ulitelekezwa?Habarini wana jamvi
Kuna ubaya wowote kuandikisha au kujitambulisha sehemu kwa kabila la mama ukiachana na la baba (namaanisha la baba ukalitupilia mbali)
Karibuni kwa mitazamo!!
Siyo kawaida acha kudanganya watu, hii hutumika kwa special case tu ndipo mtoto utumia hata ubini wa mama. Narudia ni kwa special case tu, huwezi kuwa upande wa mama hivi hivi tu wakati mama yako mwenyewe anatumia jina la mume wake.Mimi natumiaga la mama kawaida tu
Sasa mi ndo najiita mmakuaSiyo kawaida acha kudanganya watu, hii hutumika kwa special case tu ndipo mtoto utumia hata ubini wa mama. Narudia ni kwa special case tu, huwezi kuwa upande wa mama hivi hivi tu wakati mama yako mwenyewe anatumia jina la mume wake.
Mkuu kama utaratibu au mila za ukoo wenu zinataka ujitambulishe kwa kabila la mama itabidi iwe hivyo ila kama haziruhusu jitambulishe kama inavyotakiwa hata kama unachukia kabila la baba, Kuna hatari kubwa sana katika kukiuka misingi ya kimilaHabarini wana jamvi
Kuna ubaya wowote kuandikisha au kujitambulisha sehemu kwa kabila la mama ukiachana na la baba (namaanisha la baba ukalitupilia mbali)
Karibuni kwa mitazamo!!
Kwani hata ulivyofeli shuleni nilikulazimisha ufaulu?Sasa mi ndo najiita mmakua
Mi sioni kama ina mata sana
Unajuaje kama hiyo mimba imiyokuzaa Wewe ni ya Huyo"Baba" anayekutunza?Duh!, labda kama mother aliolewa na wewe ukiwa (yaani sio mtoto halali wa baba)
Siku zote kabira la baba ndio mpango mzima... kabira ya mama sio kabira yako.
Kwani sio sahihi , wazazi wote si wamechangia damu ? Nani anatoa usawa ?Naona watoto weengi waliozaliwa baadaye na mama kumpata baba mwingine ndiyo uamua kulowea kwa mama, maana babako alikufa au hakuwa na mahusiano mazuri na mamako ndipo mama akakutaifisha na kukupeleka ujombani.
Siyo sahihi kujitambulisha kwa kabila la mamako, dunia haikupewa usawa huo.
Mbona wako sahihi ? Ni chotara wa makabila mawili , maana wengine Baba na mama wote ni kabila mojaKuna wale wakiulizwa kabila utasikia mimi nimechanganya mama mchaga baba mmasai, si useme tu mi masai au mchaga eboo...