Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,792
Tumekuwa tukiuzunguka mbuyu, eti kafa na stroke, mara kisukari., mara lile wakati jamaa kafa na ngoma na alikuwa na medemu wengi sana na wengine walisha tangulia mbele ya haki kwa kaugonjwa kalekale