Nimejaribu kujiuliza sikupata majibu, nikaona nilete hapa jamvini. Hivi kuna tatizo gani kwa kiongozi kwenye chama au taasisi fulani kuongoza watu wanaomzidi mshahara?
Mfano, uwe waziri lakini mshahara wako uko chini ukilinganisha na mishahara aya watu unaowaongoza? Au uwe rais lakini mawaziri, makabu wakuu na wakuu wa mikoa wanakuzidi mshahara?
Au kama baadhi ya watu wanavyotaka sasa, kuwa Katibu Mkuu wa CDM Dk. Slaa aongoze chama ambacho watendaji wake wengi ni wabunge wenye mshahara zaidi yake?
Mfano, uwe waziri lakini mshahara wako uko chini ukilinganisha na mishahara aya watu unaowaongoza? Au uwe rais lakini mawaziri, makabu wakuu na wakuu wa mikoa wanakuzidi mshahara?
Au kama baadhi ya watu wanavyotaka sasa, kuwa Katibu Mkuu wa CDM Dk. Slaa aongoze chama ambacho watendaji wake wengi ni wabunge wenye mshahara zaidi yake?