Kuna ubaya chumba cha watoto wa kike kuwa karibu na watoto wa kiume katika ujenzi?

Unaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.
Aisee yaani nidindishe kwa dada yangu wa damu😳😳? Labda dada binamu
 
Hivi, kwa nyumba zetu hizi za vyumba vitatu na sebule moja.... unaposema vyumba visiwe karibu unamaanisha milango tu au chumba cha wavulana kiwe nje?

Kama kuna mipango yoyote ovu kati yao, vyumba vya ndani sioni umbali wowote.... ni mwendo wa kunyata tu kama Mnyatiaji.
 
Sasa kama imefikia wazazi wanahofia ndugu wa damu kupandana kama wanyama...dunia imekwisha.

Labda we mleta mada nae kwa nini umeuliza au nae ulikuwa unawapanda dada zako? Hii dunia hii
😂 😂 😂 😂 😂
 
Unaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.
Umenena ukweli, balehe ni kitu hatari, kijana anaweza kufanya lolote ikiwemo kula wakina dada. Ni vyema vyumba vikatenganishwa, na ukiweza kuweka toilet za ndani kwa ndani kwenye chumba cha watoto wa kike itakuwa poa. Balehe ni nusu wendawazimu, watoto wanaweza kupandana kama umri wao umekaribiana kiasi wakawa wanabalehe kwa wakati mmoja
 
Hivi kweli Mtu mwenye akili timamu unawezaje kumtamani Dada yako?

Nafikiri ni kwa wale tu waliolaaniwa na MUNGU, ndio wanaweza kuwatamani dada zao au kaka zao kimapenzi.

Kijana yeyote mwenye hofu ya MUNGU, kamwe hawezi kusimamisha uume wake kwa Dada yake au kuloanisha chupi yake mbele ya kaka yake.

GOD, forbid it!
Umri wa balehe hauna akili timamu, tuwe makini yasijeyakatukuta kwenye majumba yetu. Umri wa balahe unaitwa foolish age, sio kwa bahati mbaya, anything may happen at that age, mzazi unatakiwa kuwa makini. Ni kwa vile watu hawasemi tu lakini yanayotokea kwenye familia huwa ni siri za familia.
 
Mama ni kitu kingine, siyo cha kucheza nacho. Unaweza kuvaa chupi kichwani hivihivi, kisa kumuwazia vibaya mama.
Mkuu, kuna balehe nyingine hazivumiliki unajishangaa unawawazia mabaya ndugu zako wa kike unaoishi karibu nao, balehe yangu haimuwa mchezo, kitu kikisimama kilikua kinagusa kitovuni.
Hiyo kitu ni kweli, mie pia nilipitia hiyo hali ya kuwatamani dada zangu, ila nilikula sana kina dada binam, watoto wa ami na mabeki 3, ila mwanamke wangu wa kwanza alikuwa ni mama yangu mdogo. {Mtoto wa mjomba ake na mama}
 
Naona watu wanamshambulia sana mtoa mada bila kuchakata akili zaidi.Utagiti unaonyesha 80% ya watoto wa kike wanakuwa abused sexually na ndugu zao humo humo ndani wakati wewe unakomaa tu na ukoloni.
Na kuna tafiti ilifanyika na kuonyesha watoto wengi wanapofika balehe huanza kuwatamani ndugu zao kuanzia wazazi na wengine.
Hivuo mleta mjadala yuko sahihi ni vema vyumba visiwe karibu
Huu ni ukweli, it is undeniable fact! Kijana anapobalehe watu wa kwanza kuwatamani ni watu wa nyumbani kwao wa jinsia tofauti. Vijana hutamaniana sana its just lucky huwa hawaendi mbali. Ila tambua kama unalea vijana ambao ni ndugu lkni si wakuzaliwa tumbo moja, jua kuwa kuna asilimia 50 kwa 50 ya kukichafua. So, kwa maoni yangu mleta mada ana logic
 
Sasa kama imefikia wazazi wanahofia ndugu wa damu kupandana kama wanyama...dunia imekwisha.

Labda we mleta mada nae kwa nini umeuliza au nae ulikuwa unawapanda dada zako? Hii dunia hii
Hata mwenyewe nimefikilia hilo
 
Ramani niliyonayo nimeipenda ila hii sehemu ya vyumba vya female na male ndio bado naomba ushauri kama hakuna shida au niongee na mchoraji abadilishe.
Kwani wakilana wenyewe huko wanakuwa wamekukula wewe??????

Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa Mzee
 
Ramani niliyonayo nimeipenda ila hii sehemu ya vyumba vya female na male ndio bado naomba ushauri kama hakuna shida au niongee na mchoraji abadilishe.
Cha wanaume kiwe nje. Cha wanawake ndo kiweke ndani.

Akili mkichwa ongeza na za kwako
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom