Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,429
Aisee yaani nidindishe kwa dada yangu wa damu😳😳? Labda dada binamuUnaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.