Kuna tofauti kubwa ya mwezi wa saba miaka ya nyuma na mwezi wa saba miaka hii

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Dec 30, 2013
2,384
980
Kuna tofauti kubwa ya mwezi wa saba miaka ya nyuma na mwezi wa saba miaka hii ya sasa
Mwezi wa saba wa miaka ya nyuma ilikuwa muhimu sana na ikisubiriwa kwa hamu na mashamushamu lakini miaka hii ya leo hakuna hamu kabisa ya mwezi wa saba tena inawezekana ndo mweziunaochukiwa zaidi

Miye LEO ndo nimekumbuka ni mwezi wa saba unakaribia kuisha

Je wewe unauonaje mwezi huu wa saba unavyokaribia kuisha una tofauti gani na miaka ya nyumba ?
 
Kuna tofauti kubwa ya mwezi wa saba miaka ya nyuma na mwezi wa saba miaka hii ya sasa
Mwezi wa saba wa miaka ya nyuma ilikuwa muhimu sana na ikisubiriwa kwa hamu na mashamushamu lakini miaka hii ya leo hakuna hamu kabisa ya mwezi wa saba tena inawezekana ndo mweziunaochukiwa zaidi

Miye LEO ndo nimekumbuka ni mwezi wa saba unakaribia kuisha

Je wewe unauonaje mwezi huu wa saba unavyokaribia kuisha una tofauti gani na miaka ya nyumba ?
Wewe bado ulikuwa unaota ongezeko la mshahara? Mbona ilishaelezwa bayana kwamba nchi sasa inawekeza kwenye miradi mikubwa ya reli, ndege, umeme, ambayo ikishakamilika itaingiza fedha ambazo zitatumika kuboresha maslahi ya watumishi? Kitu gani sasa kigumu kuelewa
 
Tofauti ni kwambi mwezi wa saba ya kabla ya 2016 nilikuwa naishi kwa kumkaribia malaika, lakini mwezi wa miaka kuanzia 2016 naishi kama shetani na inawezekana ifikapo 2020 nitakuwa shetani kamili kimaisha!
Kwangu mm mradi ya Umeme, reli n.k nimhimu sana kuliko unavyo fikiria wewe
 
Tofauti ni kwambi mwezi wa saba ya kabla ya 2016 nilikuwa naishi kwa kumkaribia malaika, lakini mwezi wa miaka kuanzia 2016 naishi kama shetani na inawezekana ifikapo 2020 nitakuwa shetani kamili kimaisha!
Ha ha pole mkuu
 
Kuna tofauti kubwa ya mwezi wa saba miaka ya nyuma na mwezi wa saba miaka hii ya sasa
Mwezi wa saba wa miaka ya nyuma ilikuwa muhimu sana na ikisubiriwa kwa hamu na mashamushamu lakini miaka hii ya leo hakuna hamu kabisa ya mwezi wa saba tena inawezekana ndo mweziunaochukiwa zaidi

Miye LEO ndo nimekumbuka ni mwezi wa saba unakaribia kuisha

Je wewe unauonaje mwezi huu wa saba unavyokaribia kuisha una tofauti gani na miaka ya nyumba ?
Miaka ya 'nyumba'? Makubwa
 
hv wafanyakazi wa private...wanaongezewa mshahara july.....wana raha sana
 
Back
Top Bottom