mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
Hii nilianza kuifuatilia siku Shi.bud anahamia chadema.
Aliongea mambo mengi misemo mingi na kila Aina ya kejeli za kisiasa lkn hakusema Siri yoyote au baya lolote lenye kuivua CCM nguo mbele ya wananchi.
Trend ni hiyohiyo kwa LWS, S.umaye, Ny.alandu, ...n.k
Hutasikia Huwa tunaiba hivi kura (kama ni ukweli), mwenyekiti aliiba hiki, au tuliwahi kufanya vituko hivi, au ukitaka kuwamaliza CCM Fanya A,B na C.
Ila wenzangu na Mimi wapinzani wakihama chochote anachokijua utakisikia (sisi wananzengo huku Huwa hatujui kama ni ukweli au la).
Utasikia mwenyekiti anafuja pesa, sharti uolewe ndio upate viti maalumu, ooh kule Huwa hatpendani wote, na kila lolote la aibu , la kukera, na kuudhi.
Kuna haja ya kuungwanika ktk mambo ya kisiasa. Hata kama mkeo ni kikojozi mkiachana ukikojozi wake sio sehemu ya ubora wako.
Nawaza kisiasa kidogo..
Aliongea mambo mengi misemo mingi na kila Aina ya kejeli za kisiasa lkn hakusema Siri yoyote au baya lolote lenye kuivua CCM nguo mbele ya wananchi.
Trend ni hiyohiyo kwa LWS, S.umaye, Ny.alandu, ...n.k
Hutasikia Huwa tunaiba hivi kura (kama ni ukweli), mwenyekiti aliiba hiki, au tuliwahi kufanya vituko hivi, au ukitaka kuwamaliza CCM Fanya A,B na C.
Ila wenzangu na Mimi wapinzani wakihama chochote anachokijua utakisikia (sisi wananzengo huku Huwa hatujui kama ni ukweli au la).
Utasikia mwenyekiti anafuja pesa, sharti uolewe ndio upate viti maalumu, ooh kule Huwa hatpendani wote, na kila lolote la aibu , la kukera, na kuudhi.
Kuna haja ya kuungwanika ktk mambo ya kisiasa. Hata kama mkeo ni kikojozi mkiachana ukikojozi wake sio sehemu ya ubora wako.
Nawaza kisiasa kidogo..