mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Huu ni mjadala utakaopendeza ikiwa wadau mbalimbali mtahusika katika kuufafanua.
Naomba usichoke utakapokuwa ukiulizwa swali baada ya kutoa jibu.
Hoja kwa hoja ushabiki pembeni.
Mambo ya kuzingatia unapochangia mjadala huu.
1. Mazingira
2. Mitaala ya kielimu.
Watu wa computer science, watu wa information and communication technology, watu wa information science, na wabobezi (specialist) wa field hizi mbili. nk
Naomba usichoke utakapokuwa ukiulizwa swali baada ya kutoa jibu.
Hoja kwa hoja ushabiki pembeni.
Mambo ya kuzingatia unapochangia mjadala huu.
1. Mazingira
2. Mitaala ya kielimu.
Watu wa computer science, watu wa information and communication technology, watu wa information science, na wabobezi (specialist) wa field hizi mbili. nk