Kuna tofauti gani kati ya pharmacy na pharmaceutical sciences?

Msaada nataka kujua utofauti kwa ngazi ya diploma
Mleta uzi nimekuelewa lengo lako japo hujaandika ipasavyo.

Katika masomo ngazi ya chuo. Kuna hivi vitu.

1. Bachelor of Pharmacy
Hii ni ngazi ya degree(Shahada ya kwanza)
2. Diploma in Pharmaceutical Sciences
Ngazi ya Diploma(Stashahada)
 
Hapo nimeelewa mkuu iyo lakini unanishauri nisome diploma gani kati ya pharmaceutical na clinical medicine
 
Ukisoma dip ya med unaweza kusoma bachelor ya pharm au MD lkn ukisoma dip ya pharm utakuwa na chance ya kusoma b.pharm lkn kwa MD hautaweza kusoma...
Hapa itabid uchague dip ya med ili kuendelea kuwa na choice nying za hapo baadae
.
Kuhusu demand na opportunity zilizopo kwa pande zote mbili still bado wanahitajika sana lkn kwa upande wa dip ya med inaathiriwa na ongezeko la wahitim wng wa bachelor of med mtaan kitu kinachoshusha thaman ya dip ya med siku hadi siku...
Kwa kigezo hiki nakushaur uopt pharm over med
.
U can start viewing the matters from different angles before u decide
 
Mleta uzi nimekuelewa lengo lako japo hujaandika ipasavyo.

Katika masomo ngazi ya chuo. Kuna hivi vitu.

1. Bachelor of Pharmacy
Hii ni ngazi ya degree(Shahada ya kwanza)
2. Diploma in Pharmaceutical Sciences
Ngazi ya Diploma(Stashahada)
yaaah jibu sahihi jiandae three years diploma then 4 years degree
 
Km umekidhi vigezo soma CO
Samahan wakubwa Nime maliza o,lever 2016 na matokeo yangu nilipata III 24
Chemistry _C
Biology_C
B/,,mathemtcs _D
Physcs_F
English_C
Kiswhl,_C
Geog_D
Histoy_D
Civcs_D
Nanmehtim coz ya community health
Sasa ninataka kurudia mtihan I'll nikachukue Nursing,/ Co,/Pharmacy
Sasa inatakiwa nirudie masomo mangap hapa Masada tafathal!?
 
Samahan wakubwa Nime maliza o,lever 2016 na matokeo yangu nilipata III 24
Chemistry _C
Biology_C
B/,,mathemtcs _D
Physcs_F
English_C
Kiswhl,_C
Geog_D
Histoy_D
Civcs_D
Nanmehtim coz ya community health
Sasa ninataka kurudia mtihan I'll nikachukue Nursing,/ Co,/Pharmacy
Sasa inatakiwa nirudie masomo mangap hapa Masada tafathal!?
Sifa ulizo nazo Pharmacy unapokelewa vizuri tu
 
Samahan wakubwa Nime maliza o,lever 2016 na matokeo yangu nilipata III 24
Chemistry _C
Biology_C
B/,,mathemtcs _D
Physcs_F
English_C
Kiswhl,_C
Geog_D
Histoy_D
Civcs_D
Nanmehtim coz ya community health
Sasa ninataka kurudia mtihan I'll nikachukue Nursing,/ Co,/Pharmacy
Sasa inatakiwa nirudie masomo mangap hapa Masada tafathal!?

Hapo unaenda vzr phamacia sijui kwanini ulichukua course njaa ya community health
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom