mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Hapo serikali inabidi iangalie vizuri.
Kama shida ni content kuwa hazina maadili au za kichochezi sheria ielekezwe huko.
Kama shida ni kusaka mapato. Iangalie youtube mapato yanapatikanaje ili iwekwe parameter stahiki ya mapato.
Sitashangaa na wachungaji wanaotangaza maneno mema kwa ajili ya kuifanya jamii iwe adilifu kuwaona Kisutu kisa hawakuwa na leseni kurusha maudhuhi mema youtube.
nadhani kuna haja ya kuangalia tunataka nini na hatutaki nini Youtube.
Baada ya kusikia watu wanaenda mahakamani kwa kosa la kuweka content youtube bila kibali, nimetoka nduki kudelete permanet content za kanisa flani niliombwa niwasaidie kuwawekea habari zao mitandaoni ikiwepo na youtube.
Kama shida ni content kuwa hazina maadili au za kichochezi sheria ielekezwe huko.
Kama shida ni kusaka mapato. Iangalie youtube mapato yanapatikanaje ili iwekwe parameter stahiki ya mapato.
Sitashangaa na wachungaji wanaotangaza maneno mema kwa ajili ya kuifanya jamii iwe adilifu kuwaona Kisutu kisa hawakuwa na leseni kurusha maudhuhi mema youtube.
nadhani kuna haja ya kuangalia tunataka nini na hatutaki nini Youtube.
Baada ya kusikia watu wanaenda mahakamani kwa kosa la kuweka content youtube bila kibali, nimetoka nduki kudelete permanet content za kanisa flani niliombwa niwasaidie kuwawekea habari zao mitandaoni ikiwepo na youtube.