Kuna network mtaani za kuaminika kuhusu uhusiano wa kikwete na Sitta. Sitta amekubali kumtetea kikwete kwa kupewa hongo na rushwa ya kimaajabu. Ufupi ni kwamba hizi ni taarifa bado za ndani ya ofisi ya raisi na kikosi cha wahuni ccm.
The truth is kikwete had failed all leadership tests long time ago and government of ccm is collapsing in our face. Drip drip drip drip!
Hata kama kikwete ukibadilisha mawaziri wote, uozo bado upo na tatizo ni kikwete wewe mwenyewe.
Habari kubwa zinakuja siku chache from now na stay tune to JF.
The truth is kikwete had failed all leadership tests long time ago and government of ccm is collapsing in our face. Drip drip drip drip!
Hata kama kikwete ukibadilisha mawaziri wote, uozo bado upo na tatizo ni kikwete wewe mwenyewe.
Habari kubwa zinakuja siku chache from now na stay tune to JF.