Tetesi: Kuna tetesi kwamba Kiwanda cha cement CIMERWA huko Rwanda hatarini kufungwa kwa kukosa makaa ya mawe kutoka nchini Tanzania

Hata Sina kinyongo

Senior Member
May 16, 2020
118
280
Hali ni mbaya!

Kiwanda hicho kipo Bugarama nchini Rwanda.Inasemekana mda si mrefu kitafungwa kwa kukosa malighafi ya makaa ya mawe ambayo kwalo huwa yanatoka upande wa Tz.

Ikumbukwe leo ni takribani siku ya 18 mpaka baina ya Tanzania na Rwanda haufanyi kazi kwasababu ya madereva wa Tanzania kupinga unyanyasaji na kubaguliwa huko upande wa Rwanda.
 
Hali ni mbaya!


Kiwanda hicho kipo Bugarama nchini Rwanda.Inasemekana mda si mrefu kitafungwa kwa kukosa malighafi ya makaa ya mawe ambayo kwalo huwa yanatoka upande wa Tz.


Ikumbukwe leo ni takribani siku ya 18 mpaka baina ya Tanzania na Rwanda haufanyi kazi kwasababu ya madereva wa Tanzania kupinga unyanyasaji na kubaguliwa huko upande wa Rwanda.
Taratibu nchi zinazotuzunguka zimeanza kuelewa umuhimu wetu na kwanini hatukufunga mipaka yetu, sisi hatupigi kelele kama wao, tunatekeleza kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado tuna nafasi nzuri Sana ya ku loby hili swala na tuka win, Mizigo ishushwe boda , full stop , wao watamalizia na magari yako kutoka hapo.

Sent
 
Mtaanzisha thread za uongo nyingi lakini....Watz mmejaa corona hadi inamwagika kwaiyo mkae kwenu msitusambazie corona sisi wanyarwanda.
Kiwanda cha Cimerwa kufungwa kutokana na kukosa Makaa ilikuwa ni obvious,

Wanategemea kwa kiasi kikubwa makaa ya mawe kutoka songea, kwa ajili ya kutengeneza clinker amabayo pia huiuza kiwanda cha Cibitoke Burundi

Sent
 
Back
Top Bottom