kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Kuna rafiki anafanya kazi RITA tena kitengo nyeti kabisa kanipa habari ya kushtua sana kwamba sasa hivi uhakiki wa cheti cha kuzaliwa kupitia RITA lazima ulipie tsh 3000 ambayo ni mkakati wa makusanyo kama yanavyofanywa na traffic na vitambulisho vile vya 20
.
.
Na amenambia hata mkakati uliopo sasa hivi ni waombaji wa vyuo vikuu nchini hapa,wanaohakikiwa na wanaotaka kuomba mkopo wa kusoma ambao ni malaki ya watu na lazima walipe buku 3 za uhakiki wa cheti cha kuzaliwa kabla hujaomba mkopo sasa piga mahesabu 3000 kwa wahakikiwa mfano laki 3 utajua ni sh ngapi?
.
.
Nimeelezwa mambo ya kushangaza acheni tu ile issue ya rita kuhackiwa juzi kati ilikua ni zengwe tu mpango upo hivi:-
1.Wale waliotuma 3000 zao toka mwanzo wataambiwa mtandaoni ulihakiwa hivyo taarifa zao zimepotea hivyo waombe tena na watume 3000 nyingine=mkakati hapa ni makusanyo...
.
.
2.Wataomba wengi mkopo ila mpaka ulipe 3000 cheti kihakikiwe na hapo watafanya kuchelewesha kuhakiki maksudi nia ni kwamba wengi wasiombe au wengine wajikatie tamaa waache ili pesa ziende kwenye miradi mingine mfano ndege,reli etc...
.
.
My take:hizi taarifa nimepewa...na kama hawa RITA watakua wanafanya hivi malipo ni hapahapa hii ni dhuluma kubwa sana itakua maana waombaji wengi ni watoto wa family duni wanaotamani kufikia ndoto zao kupitia elimu..
RITA huu mchezo kama mnaufanya basi nyie ni jipu nchi hii...
Update:Yametimia maneno yangu wale wote waliotuma pesa ya uhakiki mwanzo wameambiwa watume tena pesa ili wahakikiwe upya...
Halafu pesa zinakwenda hazinambombo ngafu
Tunataka pesa za kununulia ndege sie...
.
.
Na amenambia hata mkakati uliopo sasa hivi ni waombaji wa vyuo vikuu nchini hapa,wanaohakikiwa na wanaotaka kuomba mkopo wa kusoma ambao ni malaki ya watu na lazima walipe buku 3 za uhakiki wa cheti cha kuzaliwa kabla hujaomba mkopo sasa piga mahesabu 3000 kwa wahakikiwa mfano laki 3 utajua ni sh ngapi?
.
.
Nimeelezwa mambo ya kushangaza acheni tu ile issue ya rita kuhackiwa juzi kati ilikua ni zengwe tu mpango upo hivi:-
1.Wale waliotuma 3000 zao toka mwanzo wataambiwa mtandaoni ulihakiwa hivyo taarifa zao zimepotea hivyo waombe tena na watume 3000 nyingine=mkakati hapa ni makusanyo...
.
.
2.Wataomba wengi mkopo ila mpaka ulipe 3000 cheti kihakikiwe na hapo watafanya kuchelewesha kuhakiki maksudi nia ni kwamba wengi wasiombe au wengine wajikatie tamaa waache ili pesa ziende kwenye miradi mingine mfano ndege,reli etc...
.
.
My take:hizi taarifa nimepewa...na kama hawa RITA watakua wanafanya hivi malipo ni hapahapa hii ni dhuluma kubwa sana itakua maana waombaji wengi ni watoto wa family duni wanaotamani kufikia ndoto zao kupitia elimu..
RITA huu mchezo kama mnaufanya basi nyie ni jipu nchi hii...
Update:Yametimia maneno yangu wale wote waliotuma pesa ya uhakiki mwanzo wameambiwa watume tena pesa ili wahakikiwe upya...
Halafu pesa zinakwenda hazinambombo ngafu
Tunataka pesa za kununulia ndege sie...