Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Kuna habari zisizo lasmi na zilizo sambaa mitaan hapa Mwanza ya-kwamba kamanda wa mkoa wa Mwanza amehamishwa.Kama kunamweye taharifa lasmi tunaomba atujulishe,kwani kama ni kweli hili litakuwa pigo kubwa sana kwa wapenda demokrasia wa mkoa wa Mwanza.