Kuna tatizo mwanamke akichelewa kuamka?

Shida ya wanawake wa sasa hivi wanautafuta usawa Kwa nguvu zote kitu ambacho ni kosa kubwa Sana

Pia kinachowasumbua wanawake wa sasa ni usasa , wengi wamesahau Mila na destuli zetu(japo zipo pia mbaya)

Sasa Kwa Hali ya kawaida mwanamke anatakiwa kuwai kuamka kulingana na majukumu yake ya nyumbani, mfano kupika na kufanya usafi nyumbani na huu ndio utaratibu wa kiafrika

Ila kuna vitu vinavyo athiri hili Jambo vitu hivyo ni kama

1.ulinganifu, hapa mwanamke analinganisha kama mwanaume anachelewa kuamka Kwa nn na Mimi nisichelewe

2. Wada wa kazi, hapa ndo kwenye balaa unakuta mwanamke amemwachia majukumu yote mdada wa kazi sasa yeye anaamka mapema akafanye nini

3 kazi, siku hizi wanawake wengi wanafanya kazi hivyo nao ni binadamu wanachoka balaa hivyo wanachelewa kuamka Kwa lengo la kupumzika

Naomba kuwakilisha
 
Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?

Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.

Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
Kama wewe ni mzungu sawa,lakini kama ni mswahili mwenzetu naona hapo kuna kitu hakipo sawa,na inawezekana shida imeanzia kwa wazazi wako kwahiyo sikulaumu sana...
 
Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?

Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.

Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
basi ukipata bahati ya kuoa takataka kama hii, utamu wa ndoa utauelewa.
 
Lahaulaaaaaa! 🤣🤣🤣🤣🤣

Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?

Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.

Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
 
Sawa, kwa kuwa siku hizi mnafanya kazi amka muda unaotaka na yeye aamke muda anaotaka. Kama mkipata na mtoto mchanga nae aamke muda anaotaka.
Mtoto sawa lakin mtu mzima ati mwanamke aamke mapema halafu yeye abaki kitandani wakat wote wawili wanafanya kazi. Mi siwezi kuja kufanya uo ujinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom