BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
We ni mwanamke lakini sio mkeNa wakat wife material anaamka mapema husband material anakua anafanya nn? amelala?
We ni mwanamke lakini sio mkeNa wakat wife material anaamka mapema husband material anakua anafanya nn? amelala?
Mwanamke haendi shule...wasichana ndio wanaenda shule.Inawahusu kna nan? Kwani mimi sio mwanamke?
Kama wewe ni mzungu sawa,lakini kama ni mswahili mwenzetu naona hapo kuna kitu hakipo sawa,na inawezekana shida imeanzia kwa wazazi wako kwahiyo sikulaumu sana...Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?
Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.
Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
Kwa jibu hili bado anaitaji sabubu nyingine tena?Wewe bado ni mtoto hujawa mwanamke acha kuhangaisha akili na visivyokuhusu
Kila lawama kwa mwanamke. Pole Mama yangu!Wapo ila siyo sawa hiyo! Mwenyezimungu hakutuumba ili mwanamke ndio aitunze familia! Ukiona hivyo ujue kuna udhaifu mkubwa kwa mwanamke
basi ukipata bahati ya kuoa takataka kama hii, utamu wa ndoa utauelewa.Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?
Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.
Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
Ata oa hata "umbwa" in luo's (mbwa)umeandika kwa hasira sana,
NB;Usipo badirika utajioa kama wazungu
Leo nlikuwa nangalia youtube kuna wamama walikuwa wa naongea mara mmoja akasema mwanamke wa kiafrica hatakiwi kuchelewa kuamka. Anatakiwa aamke mapema saa 12 asubuhi 🤔 Nimeshangaa sna. Kwani kuna tatizo lolote mwanamke akichelewa kuamka?
Mfano mimi km siku nko free siendi shule nakuwa nachelewa kulala. Nalala saa tisa au saa kumi usiku. Nikalala muda huo nachelewa kuamka. Naamka saa sita au saa saba mchana. Na nyumbani hakuna mtu yeyote anaesema ati kwann nachelewa kuamka. Kwetu ni kawaida sna km hauna kazi, ukitaka ata usiamke hakuna mtu atasema.
Nimeshangaa hawa wamama wanasema msichana km anachelewa kuamka mwagie maji ya baridi. Ni tabia mbaya kuchelewa kuamka. Kwaiyo Mtu ata km huna kazi kwa vile tu mwanamke ndo uamke mapema? Unaamka mapema unafanya nn sasa? Au unaenda wap? Mawazo mgando tu
Wewe unayeenda Shule hii mada haikuhusu.. Hata usipoamka hakuna atakayehangaika na wewe
Mtoto sawa lakin mtu mzima ati mwanamke aamke mapema halafu yeye abaki kitandani wakat wote wawili wanafanya kazi. Mi siwezi kuja kufanya uo ujingaSawa, kwa kuwa siku hizi mnafanya kazi amka muda unaotaka na yeye aamke muda anaotaka. Kama mkipata na mtoto mchanga nae aamke muda anaotaka.
Vinanihusu sana kwani siku zote nitakuwa hivi hivi tu?Wewe bado ni mtoto hujawa mwanamke acha kuhangaisha akili na visivyokuhusu
Msichana mwisho miaka 18 mi sina hiyo miakaMwanamke haendi shule...wasichana ndio wanaenda shule.
Soma kwanza ukifikia umri wa majukumu ndo ujishughulishe na habari za kuamka asubuhi ama sa 6 mchanaVinanihusu sana kwani siku zote nitakuwa hivi hivi tu?
???We ni mwanamke lakini sio mke