Kuna tatizo mtu akianika nguo za ndani palipo na majirani na karibia na barabara

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Huu ni UJANJA, UVIVU, UCHAFU, KUJIAMINI au ni vizuri kuanika hivi penye wapangaji wengi na ni karibia na barabara.

bdg.jpg
 
Usafi huo,mbona aliinunua dukani na alikutana na watu kibao na alionekana akinunua?
 
Bado mpya zikichakaa hutaziona tena. na hazikawiagi kuchakaa siku 2 tu. tena zinaharibika kwa kutia doa sehemu moja tu mbaya.
 
Back
Top Bottom