Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,658
Kaomba radhi halafu raia hawaeleweki akaona isiwe ishu....Ngambeki Kapotea sana tangia aombe radhi.
Kaomba radhi halafu raia hawaeleweki akaona isiwe ishu....Ngambeki Kapotea sana tangia aombe radhi.
Ndio maana akabadilisha???Hilo la erick ngambeki lilikuwa hali sound vizuri kama la heri james. Ni hivyo tu
Vijana wengi 99% walioko huko ni Fools.Miaka ya huko nyuma Umoja huu wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ulisifika sana kwa kuandaa viongozi bora , wenye weledi na uongozi, wenye maarifa, uzalendo na nchi yao, wachapa kazi na wenye misingi ya haki, utu na maadili ya kutosha mfano wa ni pamoja na Waziri Mwandamizi wa siku nyingi anayehudumu Wizara ya Ardhi Mh. William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro waa sasa Martin Shigella.
Lakini miaka ya hivi karibuni Umoja huo umekuwa ukitoa viongozi wasio sifa wenye na mifano mmibaaya kwa Taifa, mf. mwaka 2014 Paulo Makonda aliyepikwa kwenye umoja huo alimpiga vibao Waziri Mkuu M staafu Jaji Joseph Sinde Warioba. Mwaka 2015 tukamwona aliyekuwa Mwenyekiti wa muda mrefu Dr.Emmanuel Nchimbi akipinga maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Chama na kuongoza kikundi wakiimba wana imani na Lowassa.
Alipoingia Magufuli kwenye uenyekiti wa chama na kumpa mpwa wake kuongoza umoja huo, Kheri James naye akatoka adharani na kutishia kuwandunga watu wa upinzani na sindano za sumu. Aliyekuwa Mwenyekiti wa umoja huo mkoa wa Arusha 2017, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa kesi ya forgery kujifanya usalama wa Taifa na sasa yupo Kisongo na kesi ya kuendesha genge la wahalifu.
Je nini kumetokea ktk UVCCM imeacha kupika viongozi wazuri na sasa kutengeneza wahalifu, wapiga deal na wachumia tumbo?
Yes kama wewe ulivyoamua kujiita Evelyn salt na si Chausiku Chumvi. Ni swaga tu.Ndio maana akabadilisha???
Mzee wa jalalani pia mwombeni cheti Cha form fourInadaiwa alifoji vyeti kama Bashite na Mwigulu Nchemba ambao wote wanatumia majina tofauti si yale waliyokuwa wanayatumia awali.
Sawa mtoto wa dada.....Yes kama wewe ulivyoamua kujiita Evelyn salt na si Chausiku Chumvi. Ni swaga tu.
Hata Mimi nimevutiwa kupata historia yake,Fanya mpango utujuzeMkuu unaonekana unaulewa kidogo juu ya huyu mtu vp alifoj vyet nn mbona anamajina mawili tofaut ?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mwigulu
Heri James
Makonda
Kigwangala
😁😁
Ndiyo maana hata ccm wenyewe walifikia hatua ya kuchukua vijana kutoka upinzani na kuwapa uwaziri.
Miaka ya huko nyuma Umoja huu wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ulisifika sana kwa kuandaa viongozi bora , wenye weledi na uongozi, wenye maarifa, uzalendo na nchi yao, wachapa kazi na wenye misingi ya haki, utu na maadili ya kutosha mfano wa ni pamoja na Waziri Mwandamizi wa siku nyingi anayehudumu Wizara ya Ardhi Mh. William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro waa sasa Martin Shigella.
Lakini miaka ya hivi karibuni Umoja huo umekuwa ukitoa viongozi wasio sifa wenye na mifano mmibaaya kwa Taifa, mf. mwaka 2014 Paulo Makonda aliyepikwa kwenye umoja huo alimpiga vibao Waziri Mkuu M staafu Jaji Joseph Sinde Warioba. Mwaka 2015 tukamwona aliyekuwa Mwenyekiti wa muda mrefu Dr.Emmanuel Nchimbi akipinga maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Chama na kuongoza kikundi wakiimba wana imani na Lowassa.
Alipoingia Magufuli kwenye uenyekiti wa chama na kumpa mpwa wake kuongoza umoja huo, Kheri James naye akatoka adharani na kutishia kuwandunga watu wa upinzani na sindano za sumu. Aliyekuwa Mwenyekiti wa umoja huo mkoa wa Arusha 2017, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa kesi ya forgery kujifanya usalama wa Taifa na sasa yupo Kisongo na kesi ya kuendesha genge la wahalifu.
Je nini kumetokea ktk UVCCM imeacha kupika viongozi wazuri na sasa kutengeneza wahalifu, wapiga deal na wachumia tumbo?
Tatizo limetokea wapi mbona kina Salim waliweza kwa umri mdogo na mwalimu kuwaamini?nilimshuhudia kijana mmoja wa uvccm...yule aliyeshinda kura za maoni Kawe kisha baadaye wakampa Gwajima....yule kijana hajui siasa na uongozi au alileweshwa na aliyekuwa madarakani.....
Kiufupi kuna ombwe kubwa la utashi, elimu, kipawa na hekima kwa viongozi wetu kila chama kina watu wazuri na majasiri tatizo ni nayekupa mafasi ya uongozi anataka ufanye nini. Kipindi cha TANU/CCM ya Nyerere vijana walifanya makubwa sana....nimesoma Salmini alikuwa mwanadiplomasia makini ktk umri mdogo hadi kuteuliwa kuwakilisha Tanzania nchini Cuba angali hajafikisha hata miaka 30.
Amejibu soma post #12Hata Mimi nimevutiwa kupata historia yake,Fanya mpango utujuze
Asante kwa ufafanuz mkuu kwa Hal hii bas wengi Sana wamefoj vyeti kwakwel wanaotuhumiwana skendo hizi n wengi SanaSijui nini kilitokea, nimesoma nae shule aliitwa Erick Ngambeki, nimekuja kumuona majukwaani akiitwa Heri James sijui nini kilitokea, labda alibatizwa.
Nilisikia pia, kuwa sio jina lakeAsante kwa ufafanuz mkuu kwa Hal hii bas wengi Sana wamefoj vyeti kwakwel wanaotuhumiwana skendo hizi n wengi Sana
Kuna mzee wangu mmoja ameniambia na kunihakikishia kabisa kwamba bwana AIDAN MWALUKO mzee wa KENDA Hilo siyo jina lake Kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
wamechanganyikiwa wasijue cha kufanyaMiaka ya huko nyuma Umoja huu wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ulisifika sana kwa kuandaa viongozi bora , wenye weledi na uongozi, wenye maarifa, uzalendo na nchi yao, wachapa kazi na wenye misingi ya haki, utu na maadili ya kutosha mfano wa ni pamoja na Waziri Mwandamizi wa siku nyingi anayehudumu Wizara ya Ardhi Mh. William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro waa sasa Martin Shigella.
Lakini miaka ya hivi karibuni Umoja huo umekuwa ukitoa viongozi wasio sifa wenye na mifano mmibaaya kwa Taifa, mf. mwaka 2014 Paulo Makonda aliyepikwa kwenye umoja huo alimpiga vibao Waziri Mkuu M staafu Jaji Joseph Sinde Warioba. Mwaka 2015 tukamwona aliyekuwa Mwenyekiti wa muda mrefu Dr.Emmanuel Nchimbi akipinga maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Chama na kuongoza kikundi wakiimba wana imani na Lowassa.
Alipoingia Magufuli kwenye uenyekiti wa chama na kumpa mpwa wake kuongoza umoja huo, Kheri James naye akatoka adharani na kutishia kuwandunga watu wa upinzani na sindano za sumu. Aliyekuwa Mwenyekiti wa umoja huo mkoa wa Arusha 2017, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa kesi ya forgery kujifanya usalama wa Taifa na sasa yupo Kisongo na kesi ya kuendesha genge la wahalifu.
Je nini kumetokea ktk UVCCM imeacha kupika viongozi wazuri na sasa kutengeneza wahalifu, wapiga deal na wachumia tumbo?
Hawa wa sasa ni watu wa Prestige, Popularity, Pompous and PowerTatizo limetokea wapi mbona kina Salim waliweza kwa umri mdogo na mwalimu kuwaamini?